Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 52

Category: Habari za Kimataifa

Mtalii wa Denmark Abakwa Nchini India

Posted on: January 15, 2014 - jomushi
Mtalii wa Denmark Abakwa Nchini India

POLISI nchini India wanachunguza kisa cha mtalii wa kike raia wa Denmark aliyebakwa na genge la watu mjini Delhi. Taarifa zinasema mwanamke huyo mwenye umri…

Continue Reading....

Mazungumzo ya Sudan Kusini Yakwama Kuanza

Posted on: January 4, 2014 - jomushi
Mazungumzo ya Sudan Kusini Yakwama Kuanza

MATUMAINI ya kupatikana kwa amani nchini Sudan Kusini yameingia mashakani baada ya mazungumzo ya ana kwa ana ya pande zinazopingana yaliyokuwa yakitarajiwa kufanyika nchini Ethiopia…

Continue Reading....

Kamanda wa Al Qaeda Afariki Dunia Akiwa Kizuizini

Posted on: January 4, 2014January 4, 2014 - jomushi
Kamanda wa Al Qaeda Afariki Dunia Akiwa Kizuizini

MAJESHI ya Lebanon yametangaza kuwa kamanda wa cheo cha juu wa kundi la kigaidi la Al Qaeda katika nchi hiyo Majid Al – Majid amekufa…

Continue Reading....

Brotherhood Wakichoma Moto Chuo Kikuu cha Misri

Posted on: December 28, 2013 - jomushi
Brotherhood Wakichoma Moto Chuo Kikuu cha Misri

WANAFUNZI ambao ni wanachuo na wafuasi wa kundi la Muslim Brotherhood lililopigwa marufuku nchini Misri wamepigana na polisi kwenye Chuo kikuu cha Al Azhar mjini…

Continue Reading....

Viongozi wa IGAD Wajadili Mgogoro wa Sudan Kusini

Posted on: December 27, 2013 - jomushi
Viongozi wa IGAD Wajadili Mgogoro wa Sudan Kusini

VIONGOZI wa Afrika Novemba 27, 2013 wanazungumzia mzozo unaozidi kukuwa Sudan Kusini wakati Umoja wa Mataifa ukiharakisha uingizaji wa vikosi zaidi nchini humo kukomesha umwagaji…

Continue Reading....

Vita Wenyewe kwa Wenyewe Vyanyemelea Sudan Kusini

Posted on: December 24, 2013 - jomushi
Vita Wenyewe kwa Wenyewe Vyanyemelea Sudan Kusini

JESHI la Sudan Kusini limesema linajiandaa kufanya shambulio kubwa dhidi ya vikosi vya waasi wakati nchi hiyo inayoelekea kuingia kwenye vita vya wenyewe kwa wenyewe…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari