Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 51

Category: Habari za Kimataifa

AU Yaunda Jeshi Maalum Kuzinusuru Sudan Kusini na Afrika ya Kati

Posted on: February 1, 2014 - jomushi
AU Yaunda Jeshi Maalum Kuzinusuru Sudan Kusini na Afrika ya Kati

NCHI wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) zimetangaza kutuma kikosi maalumu cha wanajeshi watakaoshughulikia mizozo kwa dharura ili kumaliza umwagaji damu katika nchi mbili za…

Continue Reading....

Obama Aapa Kuizunguka Congress

Posted on: January 29, 2014January 29, 2014 - jomushi
Obama Aapa Kuizunguka Congress

RAIS wa Marekani, Barack Obama ameapa kulizunguka bunge na kuchukua hatua kivyake ili kuwaimarisha watu wa tabaka la kati, akionyesha kukatishwa kwake tamaa na kasi…

Continue Reading....

Majengo ya Polisi, Usalama Yashambuliwa Cairo

Posted on: January 25, 2014 - jomushi
Majengo ya Polisi, Usalama Yashambuliwa Cairo

ZAIDI ya watu wanne wameuwawa na wengi kujeruhiwa kufuatia mashambulio matatu ya mabomu karibu na vituo vya polisi katika Mji Mkuu wa Misri Cairo. Shambulio…

Continue Reading....

Serikali na Waasi Sudan Kusini Wasaini Kusitisha Mapigano

Posted on: January 25, 2014January 25, 2014 - jomushi
Serikali na Waasi Sudan Kusini Wasaini Kusitisha Mapigano

SERIKALI na waasi wa Sudan Kusini wamesaini makubaliano ya kusitisha mapigano, japokuwa wachambuzi wa mambo wanasema bado kuna kazi kubwa ya kuwadhibiti wapiganaji na kutekelezwa…

Continue Reading....

UN Yaizuia Iran Kushiriki Mkutano wa Kusaka Aman Syria

Posted on: January 21, 2014 - jomushi
UN Yaizuia Iran Kushiriki Mkutano wa Kusaka Aman Syria

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa (UN), Ban Ki-moon amesitisha mwaliko wa kutaka nchi ya Iran kushiriki mazungumzo ya kutafuta suluhu kati ya pande zinazozozana…

Continue Reading....

Mtafaruku Mazungumzo ya Amani Syria, Upinzani Wawakataa Iran Kushiriki

Posted on: January 20, 2014 - jomushi
Mtafaruku Mazungumzo ya Amani Syria, Upinzani Wawakataa Iran Kushiriki

MAZUNGUMZO ya amani nchini Syria ambayo yanatarajiwa kufanyika baadaye wiki hii yamekumbwa na sintofahamu, baada ya Umoja wa Mataifa (UN) kuialika Iran kushiriki katika mazungumzo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari