Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 44

Category: Habari za Kimataifa

Mvua ya Samaki Yanyesha Kijijini

Posted on: May 8, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mvua ya Samaki
Mvua ya Samaki Yanyesha Kijijini

WAKAZI wa kijiji kimoja Magharibi mwa Sri Lanka wameshangazwa na pia kwa namna nyingine kufurahishwa na tukio la ‘kunyesha’ kwa mvua ya Samaki wadogo kijijini…

Continue Reading....

Wadau Anuwai Wakutana Kuijadili Elimu EAC

Posted on: May 5, 2014 - jomushi
Post Tags: Elimu EAC
Wadau Anuwai Wakutana Kuijadili Elimu EAC

Na Mtuwa Salira, EANA-Arusha WASOMI wabobevu, watawala, watafiti na waandaaji sera wanakutana mjini Arusha, Tanzania kuanzia Mei 5, 2014 kubadilishana uzoefu juu ya changamoto zinazoikabili…

Continue Reading....

John Kerry Awasili Sudani Kusini Kusaka Amani

Posted on: May 2, 2014May 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Sudani Kusini
John Kerry Awasili Sudani Kusini Kusaka Amani

John Kerry awasili Sudan Kusini WAZIRI wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry, ametaka kusitishwa kwa mapigano yanayoendelea Sudan Kusini ili kuepusha kutokea mauaji…

Continue Reading....

Sudani Kusini Kujadiliwa EAC Oktoba

Posted on: May 1, 2014 - jomushi
Post Tags: EAC, Sudani Kusini
Sudani Kusini Kujadiliwa EAC Oktoba

Na Ronald Ndungi, EANA, Arusha MAJADILIANO juu ya ombi la Sudani Kusini kujiunga na Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yameahirishwa hadi Oktoba mwaka huu, Mkutano…

Continue Reading....

Marais EAC Kukutana Jumatano Mkoani Arusha

Posted on: April 29, 2014 - jomushi
Marais EAC Kukutana Jumatano Mkoani Arusha

Na Mtuwa Salira, EANA, Arusha MARAIS wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) watafanya mkutano maalum mjini hapa Jumatano wiki hii, linaripoti Shirika…

Continue Reading....

UN Yatafakari Vikwazo Sudan Kusini

Posted on: April 25, 2014April 25, 2014 - jomushi
UN Yatafakari Vikwazo Sudan Kusini

BARAZA la Usalama la Umoja wa Mataifa linafikiria kuweka vikwazo dhidi ya makundi yanayopigana nchini Sudan Kusini, huku rais wa nchi hiyo Salva Kiir, akimfukuza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari