Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 40

Category: Habari za Kimataifa

Mabingwa Watetezi; Hispania Nje Kombe la Dunia, Cameroon Wawafuata

Posted on: June 19, 2014 - jomushi
Mabingwa Watetezi; Hispania Nje Kombe la Dunia, Cameroon Wawafuata

MABINGWA watetezi wa Kombe la Dunia, Hispania wameondolewa kwenye michuano ya kombe la dunia mwaka 2014, inayoendelea nchini Brazil baada ya kuchalazwa mabao 2 kwa…

Continue Reading....

Al Shabaab Washambulia Kenya, Wauwa Raia 48 Lamu

Posted on: June 16, 2014 - jomushi
Post Tags: Al Shabaab Washambulia Kenya, featured
Al Shabaab Washambulia Kenya, Wauwa Raia 48 Lamu

WATU wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa Kiislamu wameshambulia kituo cha polisi, hoteli na vijiji mjini Mpeketoni, pwani ya nchini ya Kenya. Makabiliano makali yameripotiwa kutokea sehemu…

Continue Reading....

Wapiganaji Waislamu Wateka Mikoa Iraq

Posted on: June 11, 2014 - jomushi
Post Tags: Wapiganaji Waislamu
Wapiganaji Waislamu Wateka Mikoa Iraq

WAPIGANAJI wa Kiislamu wanadaiwa kuendelea na kuteka maeneo zaidi nchini Iraq, katika hatua ambayo Marekani imetaja kama ni tishio kwa eneo zima. Polisi wa Iraq…

Continue Reading....

Dk Bilal Ahudhuria Hafla ya Kukabidhiwa Madaraka Prof. Arthur Mutharika

Posted on: June 2, 2014June 3, 2014 - jomushi
Post Tags: Prof. Arthur Mutharika
Dk Bilal Ahudhuria Hafla ya Kukabidhiwa Madaraka Prof. Arthur Mutharika

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal leo Jumatatu Juni 02, 2014 ameshiriki katika sherehe za kukabidhi madaraka kwa…

Continue Reading....

Ban Ki Moon Ampongeza Rais Kikwete

Posted on: June 1, 2014 - jomushi
Ban Ki Moon Ampongeza Rais Kikwete

KATIBU Mkuu wa Umoja wa Mataifa amesifu jitihada za Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mchango wake mkubwa katika kupigania Afya ya Mama na Mtoto. Bw.…

Continue Reading....

Moto Uliozuka Hospitalini Wauwa Wagonjwa 21

Posted on: May 28, 2014 - jomushi
Post Tags: Moto wauwa wagonjwa hospitali
Moto Uliozuka Hospitalini Wauwa Wagonjwa 21

WAGONJWA wapatao 20 pamoja na muuguzi wameuawawa baada ya moto mkubwa kuibuka hospitalini katika Jimbo la Janseong nchini Korea Kusini. Moto huo pia umewaacha wagonjwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari