Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 39

Category: Habari za Kimataifa

Al Shabaab Yamuua Mbunge na Mlinzi Wake Somalia

Posted on: July 3, 2014 - jomushi
Al Shabaab Yamuua Mbunge na Mlinzi Wake Somalia

WANAMGAMBO wa Al Shabaab wamedai kuwa wamemuua kwa kumfyatulia risasi mbunge maarufu mjini Mogadishu. Taarifa zinasema, Ahmed Mohamud Hayd (Mb) aliuawa baada ya kutoka hotelini…

Continue Reading....

Waislamu Waadhimisha Ramadhan

Posted on: June 29, 2014 - jomushi
Post Tags: Ramadhan
Waislamu Waadhimisha Ramadhan

WAISLAMU wanaokadiriwa kufikia bilioni 1.6 duniani Jumapili wameanza mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhan ambapo huacha kula na kunywa kwa kutwa nzima na kuepuka kila…

Continue Reading....

Tanzania Yaongoza Mkutano wa Kamati ya Viongozi Afrika Kuhusu Tabia Nchi

Posted on: June 27, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Kamati ya Viongozi Afrika Kuhusu Tabia Nchi
Tanzania Yaongoza Mkutano wa Kamati ya Viongozi Afrika Kuhusu Tabia Nchi

Na Premi Kibanga, Malabo-Equatorial Guinea NCHI za Afrika zinatakiwa kuwa na msimamo mmoja kuhusu jinsi ya kukabiliana na madhara ya Mabadiliko ya Hali ya Hewa…

Continue Reading....

Bara la Afrika Latakiwa Kupunguza Madhara ya Hali ya Hewa

Posted on: June 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Madhara ya Hali ya Hewa
Bara la Afrika Latakiwa Kupunguza Madhara ya Hali ya Hewa

KUTOKANA na kiwango kilichofikiwa cha Tabia Nchi hivi sasa, nchi za Afrika hazina budi kuungana na kuchukua hatua za kupunguza madhara ya mabadiliko ya hali…

Continue Reading....

Serikali Yamchunguza Aliyepewa Zawadi ya Mke Kijijini

Posted on: June 20, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Zawadi ya Mke Kijijini
Serikali Yamchunguza Aliyepewa Zawadi ya Mke Kijijini

TUME inayohusika na masuala ya usawa wa kijinsia nchini Afrika Kusini inafanya uchunguzi kuhusu madai kuwa Mkuu wa Shirika la Habari la SABC nchini humo…

Continue Reading....

Uganda Yasema Haitishwi na Vikwazo vya Marekani Kuhusu Ushoga

Posted on: June 20, 2014 - jomushi
Post Tags: Vikwazo vya Marekani Kuhusu Ushoga
Uganda Yasema Haitishwi na Vikwazo vya Marekani Kuhusu Ushoga

KATIBU Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Uganda, Balozi James Mugume, amesema kuwa Uganda haitishwi na vikwazo ilivyowekewa na Marekani kama hatua ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari