Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 34

Category: Habari za Kimataifa

Kikwete Ashiriki Kujadili Hatari na Athari za Ugaidi

Posted on: September 2, 2014 - jomushi
Post Tags: Hatari, kikwete, Magaidi
Kikwete Ashiriki Kujadili Hatari na Athari za Ugaidi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Septemba 2, 2014, ameungana na viongozi wengine wa Afrika na wajumbe kutoka nchi mbalimbali duniani kuhudhuria…

Continue Reading....

Ujerumani Kusaidia Silaha Iraq, Marekani Waombwa Silaha

Posted on: September 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Iraq, Marekani, Silaha, Ujerumani
Ujerumani Kusaidia Silaha Iraq, Marekani Waombwa Silaha

UJERUMANI inatarajia kupeleka silaha kwenye Jeshi la Wakurd wa Iraq zikiwemo bunduki na silaha nzito zinazoweza kutumika kushambulia kwenye vita kukabiliana na mashambulizi ya vifaru…

Continue Reading....

Wanawake Wapewa Vyoo 108 vya Msaada India

Posted on: September 1, 2014 - jomushi
Post Tags: India, Vyoo, wanawake
Wanawake Wapewa Vyoo 108 vya Msaada India

KIKUNDI kimoja cha kujitolea nchini India kimegawa vyoo 108 bure katika Kijiji cha Katra Sahadatganj ambako wasichana watatu waliuawa kwa kunyongwa katika miti mwezi Mei…

Continue Reading....

Marekani Yaimwagia Lawama Misri na Falme za Kiarabu

Posted on: August 26, 2014 - jomushi
Post Tags: Falme za Kiarabu, Marekani, Misri
Marekani Yaimwagia Lawama Misri na Falme za Kiarabu

MAOFISA nchini Marekani wamesema mataifa ya Misri na Umoja wa Falme za Kiarabu zilihusika na mashambulio nchini Libya wiki iliyopita kuwalenga wanamgambo wa Kiislamu wanaopambana…

Continue Reading....

Marekani Yawashambulia Islamic State Iraq

Posted on: August 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Marekani Yawashambulia Islamic State Iraq
Marekani Yawashambulia Islamic State Iraq

MAJESHI ya Marekani yameendelea kuwashambulia wapiganaji wa Islamic State (IS) nchini Iraq licha ya vitisho kutoka kwa kundi hilo kuwa watawaua mateka wengine Wamarekani iwapo…

Continue Reading....

Zahanati ya Ebola Yaibiwa Liberia…!

Posted on: August 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Ebola Yaibiwa Liberia
Zahanati ya Ebola Yaibiwa Liberia…!

TAARIFA kutoka Liberia zinasema kuwa kituo kilichotengwa na kuwekewa karantini kwa sababu ya ebola, kimeshambuliwa na zana kuibiwa mjini Monrovia. Baadhi ya ripoti zinasema wagonjwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari