Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 3

Category: Habari za Kimataifa

Watu 80 Yauwawa Kabul kwa Bomu la Kutegwa

Posted on: May 31, 2017 - jomushi
Watu 80 Yauwawa Kabul kwa Bomu la Kutegwa

WATU 80 wameuawa na wengine zaidi ya mia tatu kujeruhiwa, baada ya bomu lililotegwa kwenye gari kulipuka mjini Kabul. Maafisa nchini humo wanasema mlipuko mkubwa…

Continue Reading....

Marekani Yajaribu Mfumo Wake wa Utenguaji Makombora

Posted on: May 31, 2017 - jomushi
Marekani Yajaribu Mfumo Wake wa Utenguaji Makombora

  NCHI ya Marekani kwa mara ya kwanza imefanikiwa kufanya majaribio kwenye mfumo wake wa kudungua makombora ya masafa marefu ‘ICBM’ hii ikiwa ni kwa…

Continue Reading....

Rais wa Marekani Trump Akiwa Ziarani Nchini Israel

Posted on: May 22, 2017 - jomushi
Post Tags: Marekani
Rais wa Marekani Trump Akiwa Ziarani Nchini Israel

    RAIS wa Marekani Donald Trump amewasili nchini Israel akiendelea na ziara yake ya kikazi katika maeneo ya Mashariki ya Kati ambapo pia anatarajiwa…

Continue Reading....

Ndege Vita za China Zaizuia Ndege ya Marekani

Posted on: May 19, 2017 - jomushi
Ndege Vita za China Zaizuia Ndege ya Marekani

  NDEGE mbili za kijeshi za China zimeizuia ‘vibaya’ ndege ya Marekani kulingana na jeshi la Marekani. Ndege hiyo inayohusika na kufanya uchunguzi, ilikuwa katika…

Continue Reading....

Rais Donald Trump Aipa Tanzania Dola Milioni 526

Posted on: May 18, 2017 - jomushi
Rais Donald Trump Aipa Tanzania Dola Milioni 526

SERIKALI ya Marekani kupitia ofisi ya rais Donald Trump imetangaza kupatia Tanzania ufadhili wa kukabilana na virisu vya ukimwi. Marekani, ambayo siku chache zilizopita ilitangaza…

Continue Reading....

Trump Aunga Mkono Mpango wa Nyuklia wa Iran

Posted on: May 18, 2017 - jomushi
Trump Aunga Mkono Mpango wa Nyuklia wa Iran

IKULU ya Whitehouse nchini Marekani imeendeleza mpango wa kuipunguzia vikwazo Iran licha ya rais Donald Trump kuukosa mpango huo. Kuondolewa kwa vikwazo ni miongoni mwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari