Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 27

Category: Habari za Kimataifa

Luteni Kanali Issac Zida Kuiongoza Bukina Faso

Posted on: November 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Bukina Faso, Luteni Kanali Issac Zida
Luteni Kanali Issac Zida Kuiongoza Bukina Faso

LUTENI Kanali Issac Zida amechaguliwa na viongozi wa Jeshi la Bukina Faso kuiongoza nchi hiyo kuelekea katika taratibu za kufanya uchaguzi. Baada ya kutoka kwa…

Continue Reading....

Mambo Yaharibika Bukina faso Jeshi Lapindua Nchi

Posted on: October 30, 2014November 1, 2014 - jomushi
Post Tags: Bukina Faso, Jeshi Lapindua Nchi
Mambo Yaharibika Bukina faso Jeshi Lapindua Nchi

AMIRI Jeshi Mkuu wa Jeshi la Burkina Faso, Jenerali Honore Traore ametangaza kuvunjwa kwa serikali na bunge la nchi. Kiongozi huyo mkuu wa jeshi hata…

Continue Reading....

Mke Ampikia Mumewe Kondom na Mkaa Kama Chakula

Posted on: October 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Apikiwa, Kondom, Mume Mlevi
Mke Ampikia Mumewe Kondom na Mkaa Kama Chakula

MWANAMKE mmoja mwenye watoto watatu katika Wilaya ya Kole nchini Uganda ameamua kumpikia mumewe kondom kama chakula kufuatia mume huyo kuwa na ugomvi usiokwisha kati…

Continue Reading....

Kumbe Mmiliki Kampuni Tajiri ya Apple ni Shoga..!

Posted on: October 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Apple, Shoga, Tim Cook
Kumbe Mmiliki Kampuni Tajiri ya Apple ni Shoga..!

MKUU wa Kampuni Maarufu Duniani na Tajiri ya Apple, Tim Cook ametangaza kuwa yeye ni shoga. Bilionea huyo Cook alisema anajivunia kuwa shoga. Cook alitoa…

Continue Reading....

Waandamanaji Bukina faso Wachoma Bunge Kumpinga Rais

Posted on: October 30, 2014 - jomushi
Post Tags: Bukina Faso, Vurugu, Waandamanaji
Waandamanaji Bukina faso Wachoma Bunge Kumpinga Rais

WANANCHI wa Bukina Faso wanaoendeleza maandamano wameteketeza majengo ya Bunge mjini Ougadougou, ikiwa ni hatua ya kupinga kuongeza muhula wa kutawala kwa Rais Blaise Compaore…

Continue Reading....

Hatimaye Rais wa Zambia, Michael Sata Amefariki Dunia

Posted on: October 29, 2014October 29, 2014 - jomushi
Post Tags: Afariki, Michael Sata, Rais wa Zambia
Hatimaye Rais wa Zambia, Michael Sata Amefariki Dunia

RAIS wa Zambia, Michael Chilufya Sata amefariki dunia. Kwa mujibu wa taarifa ya wanafamilia wa Rais huyo, Michael Sata imeviambia vyombo vya habari kuwa rais…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari