Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 18

Category: Habari za Kimataifa

Waafrika Waacha Tena Gumzo Ujerumani!

Posted on: July 26, 2015July 26, 2015 - kizungumkuti
Post Tags: kiafrika, lafungwa, mavazi, Tamasha, Ujerumani
Waafrika Waacha Tena Gumzo Ujerumani!

Picha na Habari zote zimeletwa na Mwakilishi wa Thehabari, Tuebingen, Ujerumani

Continue Reading....

Raia wa Burundi Wapiga Kura Kumchagua Rais Wao

Posted on: July 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Burundi, Kura
Raia wa Burundi Wapiga Kura Kumchagua Rais Wao

UCHAGUZI wa Rais umeanza Burundi baada ya kumalizika kwa ghasia na maandamano ya miezi kadhaa iliyopita, hatimaye raia wa Burundi wamepiga kura ili kumchagua rais…

Continue Reading....

Asilimia 70 ya Wagonjwa wa Saratani Hupoteza Maisha – Rais Kenyatta

Posted on: July 21, 2015 - jomushi
Post Tags: Rais Kenyatta, Saratani
Asilimia 70 ya Wagonjwa wa Saratani Hupoteza Maisha – Rais Kenyatta

Na Anna Nkinda – Nairobi, Kenya ASILIMIA 70 ya wagonjwa wa saratani hupoteza maisha katika nchi zinazoendelea na katika Bara la Afrika lenye watu zaidi…

Continue Reading....

Rais wa Zamani wa Chad Kufikishwa Mahakamani

Posted on: July 20, 2015July 20, 2015 - jomushi
Post Tags: Chad, Hissene Habre
Rais wa Zamani wa Chad Kufikishwa Mahakamani

RAIS wa zamani wa Chad Hissene Habre atafikishwa mahakamani nchini Senegal kwa makosa ya uhalifu dhidi ya binadamu, ukatili dhidi ya binadamu na uhalifu wa…

Continue Reading....

Wanajeshi Wanne wa Marekani Wauwawa, 40 Walipuliwa Nigeria

Posted on: July 17, 2015 - jomushi
Post Tags: Marekani, Mlipuko, Wanajeshi
Wanajeshi Wanne wa Marekani Wauwawa, 40 Walipuliwa Nigeria

MTU mwenye silaha amewaua askari wanne wa Jeshi la Majini la Marekani katika shambulio lililofanywa kwenye majengo mawili ya jeshi hilo katika Mji wa Chattanooga,…

Continue Reading....

Rais Kikwete Awasili Uswisi, Aanza Vikao vya Kazi

Posted on: July 15, 2015 - jomushi
Post Tags: Uswisi
Rais Kikwete Awasili Uswisi, Aanza Vikao vya Kazi

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jopo la Kimataifa linalochunguza jinsi dunia inavyoweza kujikinga na majanga ya magonjwa ya mlipuko katika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari