Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 176

Category: Habari za Kimataifa

Hatimaye Laurent Gbagbo akamatwa

Posted on: April 12, 2011April 12, 2011 - jomushi
Hatimaye Laurent Gbagbo akamatwa

Laurent Gbagbo akiwa chini ya ulinzi wa majeshi ya Umoja wa Mataifa baada ya kukamatwa kwenye hoteli moja ambamo alikuwa amejificha mjini Abidjan. Taarifa zaidi…

Continue Reading....

Obama on Libya: ‘We have a responsibility to act’

Posted on: March 29, 2011 - jomushi
Obama on Libya: ‘We have a responsibility to act’

WASHINGTON – Vigorously defending the first war launched on his watch, President Barack Obama declared Monday night that the United States intervened in Libya to…

Continue Reading....

Libya yashambuliwa kutoka kila kona

Posted on: March 22, 2011 - admin
Libya yashambuliwa kutoka kila kona

UINGEREZA, Marekani na Ufaransa zimeyashambulia majeshi ya kiongozi wa Libya Kanali Muammar Gaddafi kutokea angani, majini na nchi kavu katika tukio la kwanza la utekelezaji…

Continue Reading....

Familia ya Gaddafi yapigwa marufuku Urusi

Posted on: March 18, 2011 - admin
Familia ya Gaddafi yapigwa marufuku Urusi

MOSCOW, Urusi RAIS wa Urusi Dmitry Medvedev juzi alisaini amri ya kumpiga marufuku kiongozi wa Libya Muammar Gaddafi kuingia au kusafiri kupitia eneo la Urusi.…

Continue Reading....

Maafa ya Japani hayana kifani

Posted on: March 14, 2011 - admin
Maafa ya Japani hayana kifani

WAKATI Japani, taifa lenye nguvu kubwa kiuchumi duniani likihaha katika harakati za uokoaji, mamia kwa mamia ya miili watu waliokufa kutokana na tetemeko la ardhi…

Continue Reading....

Umoja wa Kiarabu waunga mkono vikwazo Libya

Posted on: March 14, 2011 - admin
Umoja wa Kiarabu waunga mkono vikwazo Libya

UMOJA wa Nchi za Kiarabu umeunga mkono wazo la kuzuia ndege kuruka katika anga ya Libya, huku waasi wakiendelea kufurushwa kutoka miji waliyokuwa wakiishikilia. Mkutano…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari