Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 171

Category: Habari za Kimataifa

Happy Birthday Mzee Mandela!

Posted on: July 18, 2011July 18, 2011 - Rungwe Jr.
Happy Birthday Mzee Mandela!

Mzee Mandela leo tarehe 18/7/2011, ametimiza miaka 93 ya uhai wake! dev.kisakuzi.com inamtakia afya tele na maisha marefu zaidi mzee wetu huyu.

Continue Reading....

Wafanyikazi wa BBC waanza mgomo

Posted on: July 15, 2011 - jomushi
Wafanyikazi wa BBC waanza mgomo

WAANDISHI habari wengi wanaohudumu katika Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) wameanza mgomo wa siku moja kulalamikia mpango wa kuwaachisha kazi baadhi yao. Hii inafuatia…

Continue Reading....

Somalia nchi hatari duniani!

Posted on: July 13, 2011July 13, 2011 - jomushi
Somalia nchi hatari duniani!

UMOJA wa Mataifa umesema Somalia ni eneo lenye janga kubwa kabisa la kibinaadamu hivi sasa duniani, huku vifo vya watoto walio chini ya miaka mitano…

Continue Reading....

KUZALIWA SUDAN KUSINI: Ni furaha, kilio kwa Afrika?

Posted on: July 11, 2011 - Rungwe Jr.
KUZALIWA SUDAN KUSINI: Ni furaha, kilio kwa Afrika?

  *Taifa moja lagawanyika katikati ya ndoto za Afrika Moja *Kuendekeza udini, ukabila vyachochea mgawanyiko wake *Kuwa mwanachama mpya Jumuiya ya Afrika Mashariki JUBA, Sudan…

Continue Reading....

Ajali ya ndege DRC, 50 wahofiwa kufa

Posted on: July 10, 2011 - jomushi
Ajali ya ndege DRC, 50 wahofiwa kufa

DRC, Kongo NDEGE ya abiria iliyokuwa na watu 112 imeanguka kwenye uwanja wa ndege wa Kisangani huko Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo. Takriban watu 40…

Continue Reading....

Sudan Kusini sasa nchi huru

Posted on: July 10, 2011 - jomushi
Sudan Kusini sasa nchi huru

Sudan, MAELFU ya Wananchi wa Sudan Kusini wamekusanyika kushuhudia kupandishwa kwa bendera mpya ya nchi hiyo kuashiria kupata uhuru wake, katika mji mkuu Juba. Rais…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari