Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 166

Category: Habari za Kimataifa

Tanzania yapiga marufuku uuzaji wanyamapori

Posted on: August 20, 2011August 20, 2011 - jomushi
Tanzania yapiga marufuku uuzaji wanyamapori

Tanzania imetangaza kupiga marufuku biashara ya kukamata na kuwasafirisha wanyamapori kwenda nje ya nchi. Hatua hiyo imetangazwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati akijibu hoja…

Continue Reading....

Waziri Mkuu wa Uturuki ziarani Somalia

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
Waziri Mkuu wa Uturuki ziarani Somalia

WAZIRI Mkuu wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuwasili nchini Somalia kuanza rasmi kampeni ya kukabiliana na baa la njaa nchini humo. Waziri huyo katika…

Continue Reading....

Dola milioni 150 zachangwa kuisaidia Somalia

Posted on: August 19, 2011 - jomushi
Dola milioni 150 zachangwa kuisaidia Somalia

Waziri mkuu wa uturuki Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kuwasili nchini Somalia kuanzisha rasmi kampeni ya kukabiliana na baa la njaa nchini humo. Waziri huyo mkuu…

Continue Reading....

Suluhu ya mgogoro wa uchumi Ulaya wapatikana

Posted on: August 18, 2011August 18, 2011 - jomushi
Suluhu ya mgogoro wa uchumi Ulaya wapatikana

RAIS wa Ufaransa Nicholas Sarkozy na Chansela wa Ujerumani Angela Merkel wametoa mapendekezo mapya kukabiliana na mgogoro wa kiuchumi unaokabili mataifa yanayotumia sarafu ya Euro.…

Continue Reading....

Misaada yazidi kumiminika Somalia

Posted on: August 18, 2011 - jomushi
Misaada yazidi  kumiminika Somalia

    Jumuiya ya nchi za kiislamu imeahidi kutoa msaada wa dola milioni 350 kuwasaidia waathiriwa wa baa la njaa nchini Somalia. Ahadi ya msaada…

Continue Reading....

Maelfu waandamana kupinga ufisadi India

Posted on: August 18, 2011August 18, 2011 - jomushi
Maelfu waandamana kupinga ufisadi India

Maelfu ya raia wa India wamejitokeza mitaani kumunga mkono mwanaharakati wa kupinga ufisadi Anna Hazare wakiwa na mabango yaliyoikemea na kuishinikiza Serikali imwachie huru. Mwanaharakati…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari