Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 165

Category: Habari za Kimataifa

Mambo yageuka Tripoli, waasi warudishwa nyuma na Jeshi la Gaddafi

Posted on: August 23, 2011 - jomushi
Mambo yageuka Tripoli, waasi warudishwa nyuma na Jeshi la Gaddafi

MAPIGANO yanaendelea kati ya pande mbili muhimu Mji Mkuu wa Libya, Tripoli, kwa siku ya tatu mfululizo huku wapiganaji waasi wakipambana na vikosi vinavyomtii Kanali…

Continue Reading....

Siku za Gaddafi za hesabika

Posted on: August 22, 2011August 22, 2011 - jomushi
Siku za Gaddafi za hesabika

Rais wa Marekani Barack Obama amesema utawala wa Gaddafi umefikia ukingoni na kumtaka aondoke madarakani ili kuepusha damu zaidi kumwagika. Amewataka waasi kuheshimu haki za…

Continue Reading....

Tripoli yachukuliwa na Waasi, mtoto wa Gaddafi akamatwa

Posted on: August 22, 2011August 22, 2011 - jomushi
Tripoli yachukuliwa na Waasi, mtoto wa Gaddafi akamatwa

PICHA za televisheni zinaonesha Waasi wakiwa katika Uwanja wa Green Square ndani ya Mji Mkuu, huku makundi ya watu wenye furaha wakisherehekea kuwasili kwa waasi…

Continue Reading....

Majeshi ya NATO yakabidhi ulinzi kwa Afghanistan

Posted on: August 20, 2011August 20, 2011 - jomushi
Majeshi ya NATO yakabidhi ulinzi kwa Afghanistan

Afghanistan imeanza utaratibu wa kuchukua madaraka ya usalama yenyewe, na jimbo la Banyan limekuwa la mwanzo kukabidhiwa na jeshi la NATO kwa polisi wa Afghanistan.…

Continue Reading....

Vifo vya askari wa Marekani vyaongezeka Afghanistan

Posted on: August 20, 2011 - jomushi
Vifo vya askari wa Marekani vyaongezeka Afghanistan

  Askari wa Jeshi la Marekani wameendelea kuteketea na kufikia askari 31 ikilinganisha na mapema miezi iliyopita hii ni kutokana na kuanguka kwa helkopata ya…

Continue Reading....

Afghanistan yashambulia ofisi ya Uingereza, Kabul

Posted on: August 20, 2011August 20, 2011 - jomushi
Afghanistan yashambulia ofisi ya Uingereza, Kabul

Washambuliaji waliojitoa mhanga wameshambulia afisi za British Council katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, na kuwaua takriban watu tisa na kushikilia eneo la Ofisi hizo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari