Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 14

Category: Habari za Kimataifa

Shambulio la Ghafla Paris Ufaransa, Watu 120 Wauawa

Posted on: November 14, 2015 - jomushi
Post Tags: Paris Ufaransa
Shambulio la Ghafla Paris Ufaransa, Watu 120 Wauawa

NCHI ya Ufaransa imetangaza hali ya hatari na kufunga mipaka yake baada ya watu zaidi ya 120 kuuawa kwenye mashambulio kadha mjini Paris. Watu 120…

Continue Reading....

Watu Zaidi Ya 18 Wauwawa Ufaransa.

Posted on: November 13, 2015November 14, 2015 - admin
Watu Zaidi Ya 18 Wauwawa Ufaransa.

Watu zaidi ya 18 wameuwawa nchni Ufaransa katika jiji la Paris. Mtu moja alionekana akifytua risasi kwenye restaurant ya Petit Cambodge. Gazeti ya Liberation limetoa…

Continue Reading....

EU Kutenga Mabilioni Kukabiliana na Wahamiaji Kutoka Afrika

Posted on: November 11, 2015 - jomushi
Post Tags: Wahamiaji Afrika
EU Kutenga Mabilioni Kukabiliana na Wahamiaji Kutoka Afrika

VIONGOZI wa Muungano wa Ulaya wanatarajiwa kutenga euro mabilioni ya fedha kwa mataifa ya Afrika kuyawezesha kusaidia kupunguza wimbi la wahamiaji Ulaya. Tume ya Muungano…

Continue Reading....

ISIS Wameshinda Safari hii

Posted on: November 5, 2015November 5, 2015 - admin

Kuna uwezekano mkubwa kuwa ndege iliyokuwa ikisafiri kutoka Misri kwenda Urusi iliangushwa kwa bomu. Wataalamu wa mambo ya usafiri wa anga kutoka Marekani na Ulaya,…

Continue Reading....

Israel yazingira Maeneo ya Jerusalem Mashariki

Posted on: October 14, 2015 - jomushi

Machafuko haya yalianza Oktoba mosi, pale mtuhumiwa mmoja wa kundi la Hamas alipowaua kwa kuwapiga risasi walowezi wawili wa Kiyahudi mbele ya watoto wao, katika…

Continue Reading....

Mwanasiasa Christopher Afariki Dunia kwa ajali

Posted on: October 4, 2015 - jomushi

Mwanasiasa machachari nchini amefariki dunia leo asubuhi katika kijiji cha Msolwa karibu na chalinze mkani pwani kwa ajali ya gari Taarifa za awali zinasema mtikila…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari