Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 102

Category: Habari za Kimataifa

Mapinduzi Mapya Yanyemelea Guinea Bissau..!

Posted on: October 22, 2012 - jomushi
Mapinduzi Mapya Yanyemelea Guinea Bissau..!

DURU za Jeshi la Guinea Bissau, Afrika Magharibi, zinaeleza kuwa watu waliokuwa na silaha wameuwawa kwenye shambulio dhidi ya kambi ya Jeshi nje ya Mji…

Continue Reading....

Silaha za Wapiganaji wa Al Shabaab Zanaswa Puntland

Posted on: October 20, 2012 - jomushi
Silaha za Wapiganaji wa Al Shabaab Zanaswa Puntland

SHEHENA kubwa ya silaha ambazo zilikuwa zinapelekwa nchini Somalia, zimekamatwa katika Jimbo la Puntland. Kwa mujibu wa Gavana mmoja wa jimbo hilo, Abdisamad Gallan alisema…

Continue Reading....

Mbunge Kenya Afikishwa Mahakamani kwa Uchochezi

Posted on: October 18, 2012 - jomushi
Mbunge Kenya Afikishwa Mahakamani kwa Uchochezi

KIONGOZI moja Mkuu wa Kiisilamu nchini Kenya, ambaye pia ni mbunge mteule amefikishwa mahakamani akishtakiwa kwa kosa la uchochezi kwenye ghasia. Mbunge huyo, Sheikh Mohammad…

Continue Reading....

Askari 10 wa Jeshi la Polisi Kenya Wajeruhiwa kwa Bomu

Posted on: October 17, 2012 - jomushi
Askari 10 wa Jeshi la Polisi Kenya Wajeruhiwa kwa Bomu

TAKRIBANI askari 10 wa Jeshi la Polisi Kenya wamejeruhiwa vibaya katika shambulizi la guruneti. Maofisa hao wa polisi walikuwa wakiendesha msako katika nyumba moja mjini…

Continue Reading....

Obama Lands Punches In Rematch With Romney

Posted on: October 17, 2012 - jomushi
Obama Lands Punches In Rematch With Romney

A much more aggressive President Barack Obama showed up to the second presidential debate Tuesday, which at times devolved into angry crosstalk with Republican rival…

Continue Reading....

Zaidi ya wafungwa 100 Watoroka Gerezani Nchini Libya

Posted on: October 16, 2012 - jomushi
Zaidi ya wafungwa 100 Watoroka Gerezani Nchini Libya

MAOFISA wa Libya wamesema wamewakamata wafungwa 60 kati ya Wafungwa 122 waliotoroka jela katika Mji Mkuu wa Tripoli. Maofisa sasa wanadhibiti magereza kadhaa, likiwemo gereza…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari