Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Kimataifa
  • Page 10

Category: Habari za Kimataifa

Ujenzi Bomba la Mafuta Afrika Mashariki Wajadiliwa Uganda

Posted on: April 11, 2016 - jomushi
Post Tags: Bomba la Mafuta
Ujenzi Bomba la Mafuta Afrika Mashariki Wajadiliwa Uganda

MKUTANO unaohusu ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta kutoka Uganda hadi Bahari ya Hindi umeanza mjini Kampala nchini Uganda. Mkutano huo unayashirikisha mataifa waanzilishi wa…

Continue Reading....

Bunge Kujadili Kumn’goa Zuma Jumanne

Posted on: April 3, 2016 - jomushi
Bunge Kujadili  Kumn’goa Zuma Jumanne

Bunge la Afrika kusini litajadili hoja ya kumng’oa rais Jacob Zuma madarakani siku ya Jumanne. Spika wa bunge la Afrika Kusini ametoa taarifa hiyo baada…

Continue Reading....

Mahakama ya Afrika Kutoa Hukumu ya Rufaa ya Raia wa Kenya

Posted on: March 17, 2016 - jomushi
Mahakama ya Afrika Kutoa Hukumu ya Rufaa ya Raia wa Kenya

Na Kulwa Mayombi, EANA Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) inatarajia kutoa hukumu ya rufaa ya kesi ya mauaji na wizi…

Continue Reading....

Tanzania Miongoni mwa Nchi Zisizo na Furaha Diniani

Posted on: March 16, 2016 - jomushi
Post Tags: Maendeleo Tanzania
Tanzania Miongoni mwa Nchi Zisizo na Furaha Diniani

TANZANIA ni miongoni mwa nchi kumi za mwisho kwa viwango vya furaha kwa mujibu wa Ripoti ya Viwango vya Furaha Duniani ya mwaka 2016 ambayo…

Continue Reading....

Rais Kagame Afuata Nyayo za Magufuli…!

Posted on: March 14, 2016 - jomushi
Post Tags: Kagame Rwanda
Rais Kagame Afuata Nyayo za Magufuli…!

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amelaumu Jumuiya ya Afrika Mashariki kwa kufanya matumizi holela ya fedha kutokana na mawaziri kufanya ziara za mara kwa mara…

Continue Reading....

Jua Lanaswa na Mwezi Indonesia

Posted on: March 9, 2016 - jomushi
Jua Lanaswa na Mwezi Indonesia

Indonesia ndio nchi pekee iliyoshuhudia tukio hilo kote duniani. Hoteli zilizopo katika maeneo mazuri ya kushuhudiwa jua likinaswa zilijaa miezi kadhaa iliopita na katika baadhi…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari