Miss Ilala 2013, Doris Mollel ijumaa ya wiki iliyopita alitembelea shule ya msingi Pugu jijini Dar es Salaam na kukabidhi vitabu 50 za hadithi kwa…
Continue Reading....Category: Burudani
Shindano la Kusaka Vipaji vya Kuigiza Dodoma Lamalizika
Mmoja wa washiriki wa Shindano la kusaka Vipaji vya Uigizaji Tanzania, lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents (TMT), akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) mara…
Continue Reading....Muhidini Maalim Gurumo Afariki Dunia, Ni Muasisi wa Mitindo ya Msondo, Sikinde na Ndekule
HABARI za kifo cha gwiji wa muziki nchini, Muhidini Maalim Mohammed Gurumo, zimeutikisa ulimwengu wa muziki. Tunaambiwa amefariki leo Jumapili Aprili 13 saa 9.00 alasiri…
Continue Reading....Proin Promotions Limited Wawasili Dodoma Kumsaka Staa wa Kuigiza
Hatimaye kikosi kazi cha Proin Promotions Limited kimeshawasili mkoani Dodoma tayari kwa Kazi ya Kusaka vipaji vya kuigiza Katika Kanda ya Kati ambayo inawakilishwa na…
Continue Reading....Tanzania Movie Talents Yahamia Mkoani Dodoma…!
Hatimaye Kikosi Kazi cha Kampuni ya Proin Promotions Limited ambao ndio waratibu na waandaaji wa Mashindano ya Kusaka vipaji vya uigizaji Tanzania yajulikanayo kama Tanzania…
Continue Reading....Tatu Bora ya Waigizaji Wapatikana Mwanza
Janneth Emmanuel (kushoto), Cresenciah Herman (katikati) na Joshua Wambura Stanslaus ambao ndio washindi wa Shindano la kusaka vipaji vya kuigiza Tanzania lijulikanalo kama Tanzania Movie Talents wakiwa…
Continue Reading....