Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Burudani
  • Page 68

Category: Burudani

Miss Dar City Center Yazinduliwa Dar…!

Posted on: May 5, 2014 - jomushi
Post Tags: Miss Dar City Center
Miss Dar City Center Yazinduliwa Dar…!

SHINDANO la Miss Dar City Center limezinduliwa rasmi jana na linatarajiwa kufanyika Mei 24 kwaka huu katika ukumbi ambao utatangazwa baade, huku likishirikisha warembo 15. Akizungumza katika uzinduzi…

Continue Reading....

Diamond Kiboko, Ambadili Jina Wema Sepetu…!

Posted on: May 5, 2014May 5, 2014 - jomushi
Post Tags: Diamond na Wema Sepetu
Diamond Kiboko, Ambadili Jina Wema Sepetu…!

Na Mwandishi Wetu, dev.kisakuzi.com Dar MSANII maarufu wa muziki wa kizazi kipya anayeendelea kukubalika katika tasnia hiyo, Naseeb Abdul au maarufu kwa jina la Diamond…

Continue Reading....

Diamond Afanya Kufuru Tuzo za Kilimanjaro Muziki

Posted on: May 4, 2014 - jomushi
Post Tags: Diamond na Tuzo, featured
Diamond Afanya Kufuru Tuzo za Kilimanjaro Muziki

Na Mwandishi Wetu, Dar MSANII wa muziki wa kizazi kipya Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platinum usiku huu jijini Dar es Salaam amefanya kufuru baada ya…

Continue Reading....

Viatu Virefu Vyamuumbua Msanii Vanesa Mdee Jukwaani…!

Posted on: May 3, 2014 - jomushi
Post Tags: Bongo fleva, featured
Viatu Virefu Vyamuumbua Msanii Vanesa Mdee Jukwaani…!

Na Mwandishi Wetu, Dar UVAAJI wa viatu virefu bila kuwa na uzoefu navyo au kufanya mazoezi namna ya kuvitembelea usiku huu vilimuumbua msanii maarufu wa…

Continue Reading....

BFT Yampongeza Waziri Bernard Membe

Posted on: April 30, 2014 - jomushi
BFT Yampongeza Waziri Bernard Membe

SHIRIKISHO la ngumi Tanzania (BFT) limetoa pongezi za dhati kwa Waziri wa Mambo ya Nchi ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe kwa jitihada…

Continue Reading....

Jhikoman Awasili Finland Tayari kwa Kazi

Posted on: April 25, 2014 - jomushi
Jhikoman Awasili Finland Tayari kwa Kazi

MWANAMUZIKI maarufu wa Reggae Afrika Mashariki, Jhikoman na mzuka wake wa Afrikabisa Band kutoka Mjini Bagamoyo, Tanzania ameshawasili nchini Finland kwa ziara ya miezi mitatu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari