Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Burudani
  • Page 146

Category: Burudani

Hii ni Ratiba Mpya ya Msondo Ngoma Bendi

Posted on: October 30, 2012October 30, 2012 - jomushi
Hii ni Ratiba Mpya ya Msondo Ngoma Bendi

BENDI kongwe ya muziki wa dansi Tanzania, Msondo Ngoma ‘Baba ya Muziki’ imetoa ratiba yao katika wiki baada ya kutoa burudani Dar es Salaam wiki…

Continue Reading....

Shamra shamra za Eid El Hajj na Skylight Band

Posted on: October 29, 2012 - jomushi
Shamra shamra za Eid El Hajj na Skylight Band

Pichani Juu na Chini ni kundi zima la SKYLIGHT Band likitoa burudani ya kukata na shoka katika kusheherekea Sikukuu ya Eid El Hajj katika kiota…

Continue Reading....

Boniface Wambura Apanda Ngazi ECAPBA

Posted on: October 27, 2012 - jomushi
Boniface Wambura Apanda Ngazi ECAPBA

BONIFACE Wambura ambaye kwa sasa ni Mwenyekiti wa Kamati ya Viwango ya Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC), ameteuliwa kuwa Mwenyekiti wa Kamatiu ya…

Continue Reading....

Pambano la Matumla na Omot wa Kenya Laiva

Posted on: October 27, 2012 - jomushi
Pambano la Matumla na Omot wa Kenya Laiva

BONDIA Rashid Matumla na Patrik Omot wa Kenya wanategemea kupanda ulingoni kesho katika Ukumbi wa Makonde mkoani Mtwara. Mabondia wote wamepima uzito na taarifa ni…

Continue Reading....

Bondia ‘King Class Mawe’ Aeleza Siri ya Mafanikio

Posted on: October 27, 2012 - jomushi
Bondia ‘King Class Mawe’ Aeleza Siri ya Mafanikio

NI dhahiri kuwa vipaji vikiibuliwa tangu utotoni na kuendelezwa vyema vijana wanakuja kuwa wazuri ukubwani na kulitangaza vyema taifa nchi za nje. Hali hiyo inadhihirika…

Continue Reading....

Bondia Gottlieb Ndokosho wa Namibia Kutafutiwa Mbabe Wake

Posted on: October 26, 2012 - jomushi
Bondia Gottlieb Ndokosho wa Namibia Kutafutiwa Mbabe Wake

BONDIA kutoka nchini Namibia, Gottlieb Ndokosho ambaye alimsambaratisha Mtanzania, Rajabu Maoja katika raundi ya kwanza ya mpambano wao wa kugombea mkanda wa IBF Afrika uzito…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari