Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Burudani
  • Page 119

Category: Burudani

Mashindano ya Ngumi Klabu Bingwa Mkoa wa Temeke Yaendelea Bila Udhamini

Posted on: April 17, 2013 - jomushi
Mashindano ya Ngumi Klabu Bingwa Mkoa wa Temeke Yaendelea Bila Udhamini

Na Mwandishi Wetu MASHINDANO ya Klabu Bingwa ya Mkoa wa Temeke yameanza jana jijini, Dar es Salaam huku yakishirikisha timu 20 na yanatarajiwa kufikia tamati …

Continue Reading....

Onesmo Ngowi Kuongoza Ujumbe Mzito Mkutano wa Shirikisho la Ngumi Kimataifa, Ujerumani

Posted on: April 17, 2013 - jomushi
Onesmo Ngowi Kuongoza Ujumbe Mzito Mkutano wa Shirikisho la Ngumi Kimataifa, Ujerumani

MTANZANIA, Onesmo Ngowi ambaye ni Rais wa Shirikisho la Ngumi la Kimataifa Bara la Afrika, Ghuba ya Uajemi na Mashariki ya Kati, ataongoza ujumbe mzito…

Continue Reading....

Bi. Kidude Afariki Dunia, Wajua Historia Yake?

Posted on: April 17, 2013 - jomushi
Bi. Kidude Afariki Dunia, Wajua Historia Yake?

Na Mwandishi Wetu, TAARIFA ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba msanii maarufu na nguli nchini Tanzania Bara na Visiwani, Fatuma binti Baraka au maarufu kwa…

Continue Reading....

SHIWATA Yaandaa Maonesho Kukuza Vipaji Vya Wasanii

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
SHIWATA Yaandaa Maonesho Kukuza Vipaji Vya Wasanii

SHIWATA imeandaa maonesho maalum kila mwezi ili kutoa nafasi kwa wasanii wa fani mbalimbali pamoja na wanamichezo kuonesha vipaji vyao. Wasanii wengi chipukizi wanakosa mahali…

Continue Reading....

Mabondia Ghana Kuwasha ‘Moto’ Mei 3

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Mabondia Ghana Kuwasha ‘Moto’ Mei 3

NCHI ya Ghana ambayo ni moja ya nchi zenye vipaji vingi vya wanamichezo mahiri na majina makubwa hususan mchezo wa ngumi, itawaka moto Mei 3,…

Continue Reading....

Timu Nne Mpya Kuingia Hatua ya Mwisho Mashindano ya Guinness Football Challenge

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Timu Nne Mpya Kuingia Hatua ya Mwisho Mashindano ya Guinness Football Challenge

JUMATANO iliyopita katika sehemu ya nne kupitia televisheni za ITV na Clouds TV, mashindano ya GUINNESS® FOOTBALL CHALLENGE™ yalikuwa na ushindani mkubwa lakini washiriki kutoka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari