BANDI ya Ngoma Africa a.k.a FFU ya ughaibuni, bendi maarufu yenye ngome yake Ujerumani, chini ya uongozi wa kamanda wao Ras Makunja, bendi hiyo imefanya…
Continue Reading....Category: Burudani
Mabondia Kambi ya Bigright Boxing Waendelea Kujifua
MABONDIA toka kambi ya Bigright Boxing ya Mwananyamala wapo kambini wakiendelea kujifua kwa ajili ya kuwakabili wapinzani wao ambao wanatarajia kuzichapa katika wakati tofauti na…
Continue Reading....Mbondia Mtanzania Amtwanga M-Thailand kwa KO
BONDIA Mtanzania, Omari Kimweri ‘Lion Boy’ anaefanya shughuli zake nchini Australia amendelea kutamba katika nchi hiyo baada ya jana kumtwanga kwa KO ya raundi ya kwanza bondia…
Continue Reading....Thomas Mashali ‘Awatusi’ Mabondia Wenzake
BONDIA Thomas Mashali amewatusi mabondia wenzake Mada Maugo na Kalama Nyilawila kwa kuwafananisha na midoli na kuwakebehi kuwa si chochote wala lolote kwake. Hatua hiyo…
Continue Reading....Msondo Ngoma Waingia Studio Kutoa Mpya
BENDI Kongwe ya Muziki wa dansi nchini Tanzania ya Msondo Ngoma imeingia Studio kurekodi nyimbo zake mpya zitakazokuwa katika album moja. Akizungumza na waandishi wa…
Continue Reading....Bondia Omari Kimweri Atamba Kushinda Pambano Lake
BONDIA Mtanzania, Omari Kimweri ‘Lion Boy’ anaechezea uzito wa light flyweight anaefanya shughuli zake nchini Australia anatarajia kupanda ulingoni mwishoni mwa wiki hii kwa ajili ya mpambano…
Continue Reading....