Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za biashara
  • Page 61

Category: Habari za biashara

TTCL Yazinduwa Promosheni Mpya Ya ‘Bwerere’

Posted on: August 7, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, TTCL yazinduwa promosheni ya Bwerere
TTCL Yazinduwa Promosheni Mpya Ya ‘Bwerere’

KAMPUNI ya mawasiliano ya simu nchini (TTCL) imezinduwa rasmi promosheni mpya kwa wateja wake wa majumbani na maofisini ambao wanatumia huduma ya malipo kabla (pre-paid).…

Continue Reading....

LG Yazindua Simu Mpya ya G3…!

Posted on: August 6, 2014 - jomushi
Post Tags: LG Yazindua Simu Mpya ya G3
LG Yazindua Simu Mpya ya G3…!

KAMPUNI ya LG imezindua simu mpya ya G3 ambayo itaanza kupatikana katika maduka mbalimbali wakagi wowote kuanzia sasa. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika 5 Agosti…

Continue Reading....

MeTL Kupanua Soko Lake la Mafuta Afrika Mashariki na Kusini

Posted on: August 4, 2014 - jomushi
Post Tags: MeTL Kupanua Soko Lake
MeTL Kupanua Soko Lake la Mafuta Afrika Mashariki na Kusini

  Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bi. Mizinga Melu akizungumza kwenye hafla ya utiliaji saini wa mkopo wa bilioni 100 za kitanzania baina ya benki yake…

Continue Reading....

Je, Umependa Ubunifu Huu wa Vijana wa UCA Tz…!

Posted on: July 29, 2014 - jomushi
Post Tags: Ubunifu wa Vijana wa UCA Tz.
Je, Umependa Ubunifu Huu wa Vijana wa UCA Tz…!

Kama umetokea kupenda ubunifu huu wa kazi za Vijana wa Asasi ya Unscripted Concert for Africa- Tanzania (UCA-Tz); Wasiliana nasi kwa namba 0712493755 au tembelea;…

Continue Reading....

Hadhi ya Tanzania Yapanda Katika Benki ya Afrika

Posted on: July 24, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Hadhi ya Tanzania Yapanda Benki ya Dunia
Hadhi ya Tanzania Yapanda Katika Benki ya Afrika

TANZANIA imepandishwa hadhi katika Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) na sasa inaweza kupata mikopo mikubwa zaidi na yenye hadhi kubwa zaidi kuliko huko nyuma.…

Continue Reading....

Mitumba Bei Rahisi, Jumla na Rejareja Tanzania

Posted on: July 15, 2014July 15, 2014 - jomushi
Mitumba Bei Rahisi, Jumla na Rejareja Tanzania

MWEZI mtukufu wa Ramadhan, umebakiza takribani majuma mawili tu. Kwa maana hiyo, maandalizi ya sikukuu ya Eid-El-Fitri tayari yameshaanza. Eid huwa ni wakati wa furaha…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari