Na Ferdinand Shayo,Arusha. Wajasiriamali nchini wametakiwa kujikita katika Ufugaji wa kuku wa Kienyeji na kisasa ili waweze kunufaika kiuchumi kufuatia ongezeko la uhitaji mkubwa wa…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
MUWSA Yasaidia Madawati Shule ya Msingi Mandela, Moshi
Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Said Mecky Saidiq akiwasili katika shule ya msingi Mandela iliyopo kata ya Bomabuzi wilaya ya Moshi kwa ajili ya…
Continue Reading....Kivuko cha Mv. Magogoni Charudi Kazini Dar
Kivuko cha Mv. Magogoni KIVUKO cha MV. Magogoni kimepokelewa na kuanza kazi rasmi ya kutoa huduma za usafirishaji kati ya eneo la Kigamboni na Magogoni…
Continue Reading....Waziri Muhongo Kuwapa Ruzuku Wachimbaji Madini Wadogo
Na Daudi Manongi, MAELEZO-Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Nishati na Madini imepanga kuwapatia ruzuku wachimbaji wadogo wa madini ili kuongeza mchango wa…
Continue Reading....Eng. Sangeu: Toeni Elimu ya Mazingira kwa Wananchi
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Usalama na Mazingira (Mazingira), wa Wizara ya Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Eng. Melania Sangeu amezungumzia umuhimu wa Wakala wa Barabara Nchini…
Continue Reading....Wizara ya Elimu Yawaasa Vijana Kutumia Elimu Kujiajiri
Na Jacquiline Mrisho – MAELEZO Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imewaasa vijana waliomaliza shule kuacha kubweteka…
Continue Reading....