Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Stephen Kebwe akipongeza hatua ya upimaji wa ardhi na kuahidi kuendelea kutembelea kuona maendeleo. Bw. Ally Amri(kushoto) ambaye ni Land…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Prof. Mbarawa Atoa Miezi Sita Upanuzi Uwanja wa Ndege Mwanza
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amemtaka Mkandarasi wa kampuni ya Beijing Construction Engineering Group anayejenga uwanja wa ndege wa…
Continue Reading....Hatutaki Ajali, Tunataka Kuishi Salama – Kamanda Mpinga
Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani limetangaza tarehe ya kuanza kwa maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani ambapo…
Continue Reading....Mkuu wa Wilaya Awapongeza Wamasai Kuacha Mila Potofu
Na Mathias Canal, Kilimanjaro MKUU wa Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro Rosemary Staki Senyamule amewapongeza baadhi ya vijana wa kimasai kwa kuachana na imani potofu…
Continue Reading....DC Mtaturu Aitaka Shanta Gold Mining Kulipa Fidia…!
Na Mathias Canal, Singida KAMPUNI ya Uchimbaji wa Madini ya dhahabu (Shanta Gold Mining Limited) iliyopo katika kijiji cha Sambaru Kata ya Mang’onyi Wilayani Ikungi,…
Continue Reading....Profesa Mbarawa Akagua Athari za Tetemeko la Ardhi Kagera
WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa amekagua athari za tetemeko la ardhi lililoikumba miundombinu ya barabara katika mkoa wa…
Continue Reading....