Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 928

Category: Habari za Nyumbani

Watu 46,300 Moshi hawajui kusoma na kuandika

Posted on: June 21, 2012 - jomushi
Watu 46,300 Moshi hawajui kusoma na kuandika

Na Florah Temba, wa dev.kisakuzi.com-Moshi ZAIDI ya watu 46,300 toka Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro wamebainika hawajui kusoma na kuandika hali ambayo imekuwa…

Continue Reading....

EAC na msimamo wa biashara za silaha duniani

Posted on: June 21, 2012June 21, 2012 - jomushi
EAC na msimamo wa biashara za silaha duniani

Na mwandishi wetu WATAALAMU wa masuala ya usalama toka nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) wanakamilisha maandalizi ya msimamo wa pamoja wa kikanda…

Continue Reading....

Madereva daladala wagoma Moshi

Posted on: June 21, 2012June 21, 2012 - jomushi
Madereva daladala wagoma Moshi

Na mwandishi wetu Moshi MADEREVA wa magari madogo maarufu kama Hiace yanayofanya safari zake katika mji wa Moshi jana wamegoma kwa muda usiojulikana wakilalamikia halmashauri…

Continue Reading....

Mwanzilishi wa Mbio za Mt. Kilimanjaro Marathon amsifu Rais Kikwete

Posted on: June 20, 2012June 20, 2012 - jomushi
Mwanzilishi wa Mbio za Mt. Kilimanjaro Marathon amsifu Rais Kikwete

Mwanzilishi wa mbio za Mt. Kilimanjaro Marathon Marie Frances mji wa Bethesda nchini Marekani amemsifu Rais Jakaya Mrisho Kikwete kama kiongozi anayependa nchi yake na…

Continue Reading....

DK. Mukangara ataka halmashauri kutenga bajeti ya michezo

Posted on: June 20, 2012 - jomushi
DK. Mukangara ataka halmashauri kutenga bajeti ya michezo

WAZIRI wa Habari, Vijana,Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara amezitaka halimashauri zote nchini kuhakikisha kuwa zinatenga bajeti kutosha kwa ajili ya kuendeleza sekta ya michezo.…

Continue Reading....

Walemavu wataka uwakilishi Tume ya Katiba mpya

Posted on: June 19, 2012 - jomushi
Walemavu wataka uwakilishi Tume ya Katiba mpya

JAMII ya Walemavu wasiosikia (viziwi) wameiomba Serikali kuweka wawakilishi wao katika Tume ya mchakato wa Katiba mpya ili waweze kuingiza maoni yao kwa kina mara…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari