Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 885

Category: Habari za Nyumbani

Bodi ya Utalii Tanzania yawatunuku waliotangaza utalii

Posted on: August 23, 2012 - jomushi
Bodi ya Utalii Tanzania yawatunuku waliotangaza utalii

Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii nchini Tanzania TTB Dk Aloyce Nzuki wa tatu kutoka kushoto akiwa katika picha ya pamoja na watanzania hao wakiwa wameshika…

Continue Reading....

Mitaala shule za msingi inawachanganya wanafunzi – Walimu

Posted on: August 22, 2012 - jomushi
Mitaala shule za msingi inawachanganya wanafunzi – Walimu

Joachim Mushi, dev.kisakuzi.com BAADHI ya walimu wa shule za msingi wilaya za Korogwe na Moshi wamelalamikia mabadiliko ya mara kwa mara ya mitaala kwa shule…

Continue Reading....

Wanaharakati waipa Serikali siku 7 kulifungulia Mwana Halisi

Posted on: August 22, 2012 - jomushi
Wanaharakati waipa Serikali siku 7 kulifungulia Mwana Halisi

WATETEZI wa haki za binadamu, asasi za kijamii na wadau wakuu wa habari nchini, leo wameipa serikali siku saba kufungulia gazeti la MwanaHALISI, vinginevyo wataitisha…

Continue Reading....

Makarani 800 wagoma kula kiapo cha Sensa

Posted on: August 22, 2012 - jomushi
Makarani 800 wagoma kula kiapo cha Sensa

MAANDALIZI ya Sensa ya Watu na Makazi inayotarajiwa kufanyika Agosti 26, mwaka huu yameingia dosari baada ya matukio kadhaa ya kukwamisha kazi hiyo kujitokeza katika…

Continue Reading....

Mahakama yatengua matokeo ya Mbunge wa CCM Igunga, Chadema kidedea

Posted on: August 22, 2012 - jomushi
Mahakama yatengua matokeo ya Mbunge wa CCM Igunga, Chadema kidedea

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepata pigo baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Tabora, kutengua matokeo ya ubunge Jimbo la Igunga yaliyompa ushindi mgombea wake, Dk…

Continue Reading....

CCM yasema Dk. Slaa anazeeka vibaya

Posted on: August 21, 2012August 22, 2012 - jomushi
CCM yasema Dk. Slaa anazeeka vibaya

Na Mwandishi wetu KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Itikadi na Uenezi Nape Nauye amemshukia Katibu Mkuu wa Chadema, Dk. Wilbrod Slaa, kufuatia Kauli aliyoitoa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari