Na Irene WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewataka wajumbe wa Kamati ya Ushauri ya Mkoa wa Katavi (RCC) waandae Mpango wa Maendeleo wa Mkoa ambao utawasadia…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Tembo waendelea kuwatesa Wananchi Wilaya ya Rombo
Na Joyce Anae Tembo wameendelea kuwatesa wananchi wa Rombo mkoani Kilimanjaro, na kusababisha zaidi ya Kaya 950 kukumbwa na Tatizo la njaa. Inaelezwa kuwa zaidi…
Continue Reading....Rais Kikwete atuma rambirambi kifo cha Askofu Paschal Kikoti
Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Rais wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Mhashamu…
Continue Reading....Uganda kuwa kituo cha rufaa uchunguzi wa vielelezo vya uhalifu EAC
Na James Gashumba, EANA-Arusha MAWAZIRI wa masuala ya Usalama katika nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamepitisha bila kupinga, Uganda kuwa mwenyeji wa…
Continue Reading....SUMATRA yang’aka kuhusu ajali
Na Waandishi wetu – MAELEZO MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA) imewataka wadau wa huduma za usafirishaji nchini kuzingatia kanuni na…
Continue Reading....JK awakumbuka JWTZ waliokufa Darfur, Sudan
Na Mwandishi Maalum RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jakaya Kikwete ametuma salamu za…
Continue Reading....