Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 88

Category: Habari za Nyumbani

DFID Kuijenga Upya Sekondari ya Ihungo Kagera kwa Bil 6.3

Posted on: September 28, 2016 - jomushi
DFID Kuijenga Upya Sekondari ya Ihungo Kagera kwa Bil 6.3

Na Frank Shija, Maelezo MSAADA wa Shilingi bilioni 6.3 umetolewa na Serikali ya Uingereza kupitia Idara yake ya Maendeleo ya Kimataifa (DFID) ili kufanikisha ujenzi…

Continue Reading....

LHRC Yasherekea Miaka 21 na Watoto Yatima Kurasini Dar

Posted on: September 27, 2016September 27, 2016 - jomushi
LHRC Yasherekea Miaka 21 na Watoto Yatima Kurasini Dar

  Wafanyakazi wa LHRC wakijumuika na watoto wanaolelewa katika Makao ya taifa ya watoto wenye shida Kurasini jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni sehemu…

Continue Reading....

Waziri Lukuvi Afuta Hati 3 Eneo la Makaburi Kinyerezi

Posted on: September 27, 2016 - jomushi
Waziri Lukuvi Afuta Hati 3 Eneo la Makaburi Kinyerezi

  Jonas Kamaleki, MAELEZO WAKAZI wa Kinyerezi Sokoni, Dar es Salaam wameipongeza Serikali ya awamu ya Tano kwa kufuta hati tatu zilizokuwazimetolewa katika eneo la…

Continue Reading....

Makonda na Wenzake Wawili Watumbuliwa

Posted on: September 27, 2016 - Yohana Chance
Makonda na Wenzake Wawili Watumbuliwa

Rais Magufuli ametengua uteuzi wa Katibu Tawala wa Mkoa wa Kagera Bw. Amantius Msole na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Bukoba Bw. Steven Makonda…

Continue Reading....

India Yachangia Maafa ya Kagera sh Milioni 545

Posted on: September 27, 2016 - Yohana Chance
India Yachangia Maafa ya Kagera sh Milioni 545

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 27 Septemba, 2016 amepokea msaada wa Shilingi Milioni 545 kutoka kwa Waziri…

Continue Reading....

Wadau wa Sekta ya Barabara na Reli Watakiwa Kuchangamkia Fursa

Posted on: September 27, 2016 - jomushi
Post Tags: Sekta ya Mawasiliano
Wadau wa Sekta ya Barabara na Reli Watakiwa Kuchangamkia Fursa

  WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa amewataka wadau wa sekta ya miundombinu ya Reli na Barabara kushirikiana na Serikali katika kuchangamkia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari