UNION OF TANZANIANS IN GERMANY UMOJA wa Watanzania Ujerumani (UTU) Unapenda kuwakaribisha wanachama wote wa UTU, Katika Mkutano mkuu wa UTU. Utakaofanyika Katika ukumbi Uliopo…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Bashe, Kigwangalah wapigwa panga CCM
SEKRETARIETI YADAIWA KUPENDEKEZA WAKATWE,VURUGU ZA NZEGA ZAWAPONZA,WABUNGE,MAWAZIRI SASA RUKSA KUWANIA UONGOZI MAKALI ya panga la Sekretarieti ya CCM, yameanza kuonekana baada ya majina ya wagombea…
Continue Reading....Mkutano Juu ya Sera ya Kudhibiti Pombe Kufanyika Tanzania
Na Ananilea Nkya MKUTANO wa Kimataifa kujadili umuhimu wa nchi za Afrika Mashariki kuwa na sera ya kudhibiti ulevi unaanza Arusha kesho. Mkutano huo wa…
Continue Reading....MCT Yaliamuru Dira ya Mtanzania Kumlipa Lowassa kwa Kumkashfu
Na Mwandishi Wetu KAMATI ya Maadili ya Baraza la Habari Tanzania (MCT) imeliamuru Gazeti la Dira ya Mtanzania kumlipa fidia aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Lowassa…
Continue Reading....Serengeti Fiesta Mkoani Mbeya Haikamatiki, Wakazi Wafurika Kushuhudia
Wasanii wa Filamu hapa nchini Aunt Ezekiel, Wema pamoja na Shilole wakiwasikiliza mashabiki wao wanataka nini. Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya, Diamond akiwaimbisha…
Continue Reading....JK Amtumia Rambirambi Kenneth Kaunda Kifo cha Mama Betty Kaunda
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Rais Mstaafu wa Zambia Kenneth Kaunda kuomboleza kifo cha mkewe, Mama…
Continue Reading....