Na Anna Nkinda, Maelezo SERIKALI imewataka wananchi kuendelea kutunza rasilimali za misitu, wanyamapori na uvuvi ili ziweze kuwa na manufaa katika maeneo yao kwa kuinua…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Rais Kikwete Aelekea Oman Kikazi, Ni Ziara ya Siku Nne
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete anaanza ziara rasmi ya Kiserikali ya siku nne katika Taifa la Kifalme la Oman, ikiwa…
Continue Reading....Mukama Aikamua CHADEMA
KATIBU Mkuu wa CCM, Wilson Mukama amesema Chadema hakiwezi kuwa chama chenye tija na hatma njema kwa taifa kutokana na kulazimika kuokoteza hata wagombea wake…
Continue Reading....JK Atuma Salamu za Rambirambi kwa Jeshi la Polisi
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameshtushwa na mauaji ya Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi wa Polisi…
Continue Reading....Mwili wa Kamanda Liberatus Barlow Kuagwa Mwanza
MWILI wa aliyekuwa Kamanda wa Polisi mkoa wa Mwanza, Liberatus Barlow (52), utaagwa kesho, Oktoba 15, 2012, katika Uwanja wa Nyamagana jijini Mwanza. Taarifa iliyotolewa…
Continue Reading....