Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 786

Category: Habari za Nyumbani

Wanawake Waongoza Biashara ya Mihadarati

Posted on: December 17, 2012December 17, 2012 - jomushi
Wanawake Waongoza Biashara ya Mihadarati

POLISI Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini, wamekamata dawa za kulevya za aina mbalimbali zenye uzito wa kilo 55,285 katika maeneo tofauti ya nchi…

Continue Reading....

Pinda Aigawa Wilaya Kurahisisha Huduma kwa Wananchi

Posted on: December 16, 2012 - jomushi
Pinda Aigawa Wilaya Kurahisisha Huduma kwa Wananchi

WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema wilaya mpya ya Mlele mkoani Katavi itakuwa na Halmashauri mbili za Mlele na Nsimbo ili kurahisisha utoaji huduma kwa wananchi.…

Continue Reading....

Waziri Mkuu Pinda Aahidi Mazao Mbadala ya Biashara

Posted on: December 16, 2012 - jomushi
Waziri Mkuu Pinda Aahidi Mazao Mbadala ya Biashara

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka wakazi wa wilaya mpya ya Mlele mkoani Katavi walime mazao mbadala ya biashara kama alizeti, karanga na ufuta kwa sababu…

Continue Reading....

Dk. Bilal Aongoza Waislamu Kuupokea Mwaka Mpya wa Kiislamu 1434 Hijriyya

Posted on: December 16, 2012 - jomushi
Dk. Bilal Aongoza Waislamu Kuupokea Mwaka Mpya wa Kiislamu 1434 Hijriyya

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal ameongoza waumini wa Kiislamu kuupokea mwaka mpya wa Kiislamu katika hafla iliyoandaliwa…

Continue Reading....

Tirima Enterprises Yahamasisha Usafi wa Mazingira

Posted on: December 15, 2012December 15, 2012 - jomushi
Tirima Enterprises Yahamasisha Usafi wa Mazingira

Pichani Juu na Chini ni Wafanyakazi wa Kampuni ya Usafi ya Tirima Enterprises ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wakifanyakazi ya kujitolea kuzibua…

Continue Reading....

Waraka wa Marekebisho ya Katiba ya TFF Wapita

Posted on: December 15, 2012December 15, 2012 - jomushi
Waraka wa Marekebisho ya Katiba ya TFF Wapita

Waraka wa marekebisho ya Katiba ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) umepita baada ya kuungwa mkono na theluthi mbili ya wajumbe wa Mkutano…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari