POLISI Kitengo cha Kuzuia Dawa za Kulevya nchini, wamekamata dawa za kulevya za aina mbalimbali zenye uzito wa kilo 55,285 katika maeneo tofauti ya nchi…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Pinda Aigawa Wilaya Kurahisisha Huduma kwa Wananchi
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema wilaya mpya ya Mlele mkoani Katavi itakuwa na Halmashauri mbili za Mlele na Nsimbo ili kurahisisha utoaji huduma kwa wananchi.…
Continue Reading....Waziri Mkuu Pinda Aahidi Mazao Mbadala ya Biashara
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amewataka wakazi wa wilaya mpya ya Mlele mkoani Katavi walime mazao mbadala ya biashara kama alizeti, karanga na ufuta kwa sababu…
Continue Reading....Dk. Bilal Aongoza Waislamu Kuupokea Mwaka Mpya wa Kiislamu 1434 Hijriyya
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal ameongoza waumini wa Kiislamu kuupokea mwaka mpya wa Kiislamu katika hafla iliyoandaliwa…
Continue Reading....Tirima Enterprises Yahamasisha Usafi wa Mazingira
Pichani Juu na Chini ni Wafanyakazi wa Kampuni ya Usafi ya Tirima Enterprises ya Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam wakifanyakazi ya kujitolea kuzibua…
Continue Reading....Waraka wa Marekebisho ya Katiba ya TFF Wapita
Waraka wa marekebisho ya Katiba ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) umepita baada ya kuungwa mkono na theluthi mbili ya wajumbe wa Mkutano…
Continue Reading....