Na Mwandishi Maalumu, Mlele WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameahidi kutoa mizinga ya nyuki 25 ya kisasa na ya kibiashara kwa ajili ya kikundi cha sanaa…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Jamhuri ya Korea Kuunga Mkono Kilimo cha Umwagiliaji Mpunga Zanzibar
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amefanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya…
Continue Reading....Serikali Yatenga Bilioni Moja Ujenzi wa Daraja la Kavuu, Pinda Achangia Milioni 25 Ununuzi wa Jenereta Wilayani Mlele
Na Mwandishi Maalumu, Mlele SERIKALI imetenga kiasi cha sh. bilioni moja kwa ajili ya kazi za awali za ujenzi wa daraja la mto Kavuu linalounganisha…
Continue Reading....Makamu Mwenyekiti CHADEMA Taifa Atupa Kadi Mkutanoni, Waziri Afunga Hoteli ya Kitalii Dar
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimezidi kuandamwa na migogoro baada ya jana kuibuka mwingine mkubwa katika kikao chake cha ndani mkoani Katavi kiasi cha…
Continue Reading....Dkt. Mohammed Gharib Bilal kuzindua ujenzi wa jengo la TBA
Wizara ya Ujenzi inapenda kuutarifu Umma kuwa siku ya Alhamisi tarehe 20/12/2012, Mheshimiwa Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa…
Continue Reading....