Na. Mwandishi wetu -Tarime SERIKALI imewataka wafanyakazi wa sekta ya madini kuwa watulivu wakati inafanyia kazi malalamiko yao kuhusu fao la kujitoa katika mifuko ya…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Rais Andry Rajoelina amewasili jijini Dar Es Salaam kwa Mazungumzo
Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina amewasili mjini Dar Es Salaam, Ijumaa, Desemba 14 kwa ziara ya kikazi ya siku mbili nchini. Kwenye Uwanja wa Ndege…
Continue Reading....Waziri Mkuu Awataka Wazazi na Walezi kuwapeleka Watoto kwenye Chanjo
*Ahimiza matumizi ya vyandarua kujikinga na malaria WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewataka Watanzania wote kushiriki chanjo ya kuzuia kichomi na kuhara kwa watoto pindi itakapoanza…
Continue Reading....Mama Tunu Pinda Awataka Watanzania Kumshukuru Mungu
MKE wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda amesema kila mtu hana budi kumshukuru Mungu kwa kumfikisha salama wakati wa sikukuu ya Noeli kwani kuna wengine…
Continue Reading....