Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 75

Category: Habari za Nyumbani

Jeshi la Polisi Latoa Tahadhali Wamiliki wa Magari Kinondoni

Posted on: October 27, 2016 - jomushi
Jeshi la Polisi Latoa Tahadhali Wamiliki wa Magari Kinondoni

Na Dotto Mwaibale WAMILIKI wa magari wametakiwa kuchukua tahadhari ya kuzima na kufunga milango magari yao pale wanaposimama kwa dharura kupata mahitaji mbalimbali ili kuyanusuru…

Continue Reading....

Maadhimisho Siku ya Mtoto wa Kichwa Kikubwa Tanzania

Posted on: October 26, 2016 - jomushi
Maadhimisho Siku ya Mtoto wa Kichwa Kikubwa Tanzania

  Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Hospitali ya Moi akifungua rasmi sherehe za kuadhimisha siku ya mtoto wa kichwa kikubwa na Mgongo wazi Duniani,ambapo alisema wanakazi…

Continue Reading....

Serikali Itaendelea Kudumisha Uhusiano na Ushirikiano Kati ya Tanzania na India

Posted on: October 25, 2016 - jomushi
Serikali Itaendelea Kudumisha Uhusiano na Ushirikiano Kati ya Tanzania na India

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kudumisha uhusiano na ushirikiano wa kihistoria kati ya Tanzania na…

Continue Reading....

Prof. Mbarawa Aitaka Bodi Mpya ya TAA Kusitisha Ajira za Upendeleo

Posted on: October 25, 2016 - jomushi
Prof. Mbarawa Aitaka Bodi Mpya ya TAA Kusitisha Ajira za Upendeleo

Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano Profesa Makame Mbarawa, ameitaka Bodi mpya ya Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA) kusimamia Menejimenti ya Mamlaka hiyo…

Continue Reading....

Wadau waunga Mkono Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari

Posted on: October 25, 2016 - jomushi
Wadau waunga Mkono Muswada wa Sheria ya Huduma za Habari

Benedict Liwenga- WHUSM WADAU wa Habari wameisifu Serikali kwa kuundaa na kuwasilisha Bungeni Muswada wa Sheria ya Huduma za Jabari. Wamesema ni jambo ambalo lilikuwa…

Continue Reading....

RC Mwanza Atoa Somo la Usalama Barabarani…!

Posted on: October 24, 2016 - jomushi
RC Mwanza Atoa Somo la Usalama Barabarani…!

  Baada ya Maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani kufanyika Kitaifa mkoani Geita kuanzia Septemba 29 hadi Oktoba Mosi Mwaka huu, Maadhimisho kama…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari