Category: Habari za Nyumbani
Waziri Pinda Awahimiza Watanzania kunywa maji
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewahimiza Watanzania kuwa na tabia ya kunywa maji mengi kila siku ili kujikinga na matatizo ya figo ambayo yanazidi kuongezeka kila…
Continue Reading....Zijue Sifa za Papa Mpya Kanisa Katoliki
JORGE Mario Bergoglio kutoka Argentina ndiye Baba Mtakatifu mpya atakayeliongoza kanisa katoliki baada ya kujulishwa hapo jana usiku kwa ulimwengu. Kuanzia sasa anafahamika kama Baba…
Continue Reading....Kanisa Katoliki Lapata Papa Mpya, Ni Muagentina
RAIA wa Agentina, Cadinali Jorge Mario Bergoglio (76) amechaguliwa kuwa Kiongozi Mkuu wa Kanisa katoliki Duniani. Papa Mario Bergoglio ametangazwa usiku huu baada ya kumalizika…
Continue Reading....TGNP Yashinda Kesi ya Jengo Mahakama Kuu
MTANDAO wa Jinsia Tanzania (TGNP), walinunua jengo la ofisi hii kutoka kwa Mfilisi wa iliyokuwa Tanzania Sewing Thread Manufacturers Limited (TSTML) yaani Benki ya Rasilimali…
Continue Reading....