RIPOTI ya viashiria vya Ukimwi nchini katika mwaka 2011/12 imeonyesha kuwa wasichana wenye umri wa kati ya miaka 23 na 24 wameambukizwa virusi vya Ukimwi…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Askofu Pengo Asema Polisi Tanzania Wanafuga Uhalifu
ASKOFU Mkuu wa Jimbo Katoliki la Dar es Salaam, Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amelitupia lawama Jeshi la Polisi kwa kile alichosema kwamba limeshindwa kuzuia vitendo…
Continue Reading....Zitto Azungumzia Tuhuma za Kutaka Kuuwawa
SIRI YA KUUWAWA ZITTO KATIKA gazeti la Mtanzania toleo na. 7269 la Jumatano Machi 27, 2013 kuna habari yenye kichwa chenye maneno ‘ SIRI YA…
Continue Reading....Kesi za Mimba kwa Wanafunzi Zapungua Handeni
Na Joachim Mushi, Handeni MATUKIO ya kesi za kuwatia mimba/kuwabaka wanafunzi yaliokuwa yameshamiri katika shule mbalimbali za msingi na sekondari wilayani Handeni sasa yameanza kupungua…
Continue Reading....WAFANYAKAZI Benki ya Posta Kunufaika na Mfuko wa Kufarijiana
WAFANYAKAZI wa Benki ya Posta Tanzania, wataendelea kunufaika na mfuko wao uitwao “Mfuko wa Kufarijiana” , unaowawezesha wafanyakazi kupata mafao mbalimbali pindi wanapofikwa na tatizo.…
Continue Reading....