Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 696

Category: Habari za Nyumbani

Rais Kikwete Aomboleza Kifo cha Meja Jenerali Makame

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Aomboleza Kifo cha Meja Jenerali Makame

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Jakaya Mrisho Kikwete amepokea kwa masikitiko na huzuni nyingi taarifa za…

Continue Reading....

Mjengwa Abaki ‘Mtuhumiwa’ Shambulizi la Absalom Kibanda

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Mjengwa Abaki ‘Mtuhumiwa’ Shambulizi la Absalom Kibanda

KAULI aliyoitoa leo mwandishi na mmiliki wa Mjengwa Blog inaonesha Jeshi la Polisi limemjumuisha kuwa miongoni mwa watuhumiwa wanaodaiwa kumshambulia, Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri…

Continue Reading....

CAG Ataka William Mhando wa Tanesco na Mkewe Washitakiwe

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
CAG Ataka William Mhando wa Tanesco na Mkewe Washitakiwe

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Utouh amemuweka kitanzini aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), William Mhando, baada…

Continue Reading....

Mfanyabiashara Maarufu Kilimanjaro, Arusha Aanguka na Ndege na Kufariki Dunia

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Mfanyabiashara Maarufu Kilimanjaro, Arusha Aanguka na Ndege na Kufariki Dunia

KWA mara nyingine, Mikoa ya Kilimanjaro na Arusha imetikiswa, kutokana na kifo cha mfanyabiashara maarufu katika mikoa hiyo, Joseph Sambeke (49) maarufu kama Bob Sambeke.…

Continue Reading....

Shule Yateketea kwa Moto Dar es Salaam

Posted on: April 15, 2013 - jomushi
Shule Yateketea kwa Moto Dar es Salaam

MABWENI ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wazo Hill nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam, yameteketea kwa moto na kusababisha hasara ya…

Continue Reading....

Ushahidi Kesi za Kubaka/Mimba ni Changamoto Handeni

Posted on: April 14, 2013 - jomushi
Ushahidi Kesi za Kubaka/Mimba ni Changamoto Handeni

Na Joachim Mushi, Handeni “KESI nyingi za tuhuma za kubaka na mimba kwa wanafunzi zinazotufikia zinashindwa kufikia hukumu maana mashahidi wanashindwa kuthibitisha pasipo shaka…nyingi zinaharibika…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari