Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 691

Category: Habari za Nyumbani

Dawa za Kuongeza Akili Zaingia Nchini

Posted on: April 21, 2013 - jomushi
Dawa za Kuongeza Akili Zaingia Nchini

MTINDO wa maisha, ulaji na msongo wa mawazo, vimewasababishia Watanzani wengi maradhi lukuki hata vifo. Hata hivyo, wataalamu wa afya kutoka Afrika Kusini wamekuja na…

Continue Reading....

UTU Ujerumani Yawaalika Watanzania Kwenye Sherehe za Muungano

Posted on: April 21, 2013 - jomushi
UTU Ujerumani Yawaalika Watanzania Kwenye Sherehe za Muungano

MWENYEKITI wa Umoja wa Watanzania nchini Ujerumani Bw. Mfundo Peter Mfundo anayofuraha kubwa kuwakaribisha watanzania na marafiki wa Tanzania kutoka pembe mbali mbali za Dunia katika maadhimisho Sherehe…

Continue Reading....

Dk Shein Azitaka Mamlaka za Mikoa na Serikali za Mitaa Kushirikiana na Ulinzi na Usalama

Posted on: April 21, 2013 - jomushi
Dk Shein Azitaka Mamlaka za Mikoa na Serikali za Mitaa Kushirikiana na Ulinzi na Usalama

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein amezitaka Mamlaka za Mikoa na Serikali za Mitaa kushirikiana na vyombo vya…

Continue Reading....

Tanzania Yafanya Majadiliano na Benki ya Dunia Kuboresho Utendaji

Posted on: April 20, 2013 - jomushi
Tanzania Yafanya Majadiliano na Benki ya Dunia Kuboresho Utendaji

UJUMBE wa Tanzania uliohudhuria mikutano ya majira ya kipupwe mjini Washington DC umepata fursa ya kufanya majadiliano na timu nzima ya Benki ya Dunia kuhusu…

Continue Reading....

Rais Kikwete Amteuwa Raymond Mbilinyi Katibu Mtendaji TNBC

Posted on: April 19, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Amteuwa Raymond Mbilinyi Katibu Mtendaji TNBC

Rais Kikwete Amteuwa Raymond Mbilinyi Katibu Mtendaji TNBC RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua, Raymond P. Mbilinyi kuwa Katibu Mtendaji,…

Continue Reading....

Tanzania Yasaini Mkataba wa Bilioni 314 Kuzaidia Miradi ya Umeme na Gesi Toka Benki ya Dunia

Posted on: April 19, 2013 - jomushi
Tanzania Yasaini Mkataba wa Bilioni 314 Kuzaidia Miradi ya Umeme na Gesi Toka Benki ya Dunia

SERIKALIya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yapokea shilingi bilioni 314 kutoka Benki ya Dunia kwa ajili ya kusaidia miradi ya Umeme, Gesi, Bajeti ya Serikali…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari