Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 497

Category: Habari za Nyumbani

Mkuu wa Mkoa Mara Afariki Ghafla, Ikulu Yaomboleza

Posted on: March 25, 2014March 25, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Mkuu wa Mkoa Mara Afariki Ghafla, Ikulu Yaomboleza

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na…

Continue Reading....

Majina ya Kamati ya Uongozi Bunge la Katiba Yatajwa, Prof Lipumba Akataa Uteuzi…!

Posted on: March 25, 2014March 26, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Prof Lipumba
Majina ya Kamati ya Uongozi Bunge la Katiba Yatajwa, Prof Lipumba Akataa Uteuzi…!

Na Magreth Kinabo, Maelezo Dodoma     Na Magreth Kinabo, Dodoma   MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samwel Sitta, ametangaza majina ya wenyeviti na…

Continue Reading....

Serikali Yaivunja Rasmi Tume ya Jaji Jeseph Warioba

Posted on: March 25, 2014March 26, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Joseph Warioba
Serikali Yaivunja Rasmi Tume ya Jaji Jeseph Warioba

RAIS aliunda Tume ya Mabadiliko ya Katika kwa mujibu wa kifungu cha 5 na 6 cha Sheria ya Mabadiliko ya Katiba, Sura ya 83 kwa…

Continue Reading....

Rais Kikwete Awataka Viongozi Tanga Kusimamia Watoto Shule

Posted on: March 25, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Rais Kikwete Awataka Viongozi Tanga Kusimamia Watoto Shule

RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amewataka viongozi kuhakikisha watoto wote wenye umri wa kwenda shule, wana kwenda shule bila kukosa hata kama hawana uwezo wa kumudu…

Continue Reading....

Hotuba ya Rais Kikwete Yaliweka Bunge la Katiba Njiapanda

Posted on: March 24, 2014March 24, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Hotuba ya Rais Kikwete Yaliweka Bunge la Katiba Njiapanda

KWA neno moja unaweza kusema kwamba wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba na wananchi kwa ujumla wako “njiapanda”. Hii ni baada ya hotuba ya ufunguzi…

Continue Reading....

Mawakala Redio za Jamii Wataja Mafanikio Mradi wa SIDA

Posted on: March 24, 2014March 24, 2014 - jomushi
Post Tags: featured
Mawakala Redio za Jamii Wataja Mafanikio Mradi wa SIDA

Na Mwandishi Wetu, Pangani MAWAKALA wa redio za jamii wanaoshiriki mafunzo mbalimbali yanayofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) kwa kushirikiana na Shirika la…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari