UINGEREZA inajivunia kuwa nchi inayoongoza katika uwekezaji nchini Tanzania na itaendelea kuisaidia Tanzania katika jitihada zake za kiuchumi na kuleta maendeleo. Waziri Mkuu wa Uingereza…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Tanzania, Uganda may become new Russian military sale markets in Africa
Director of the Federal Service for Military-Technical Cooperation noted that new partners were mainly interested in helicopters “for shipments and fight against all modern threats”…
Continue Reading....Wafanyakazi wa Wizara ya Viwanda Wapewa somo
WafanyakaziwaWizarayaViwandanaBiasharawametakiwakuongezajuhudinaubunifukatikautendajiwakaziilikuiwezeshaWizarahiyokufikiamalengoyakeiliyojiwekea. WitohuoumetolewanaWaziriwaViwandanaBiasharaMhe.DktAbdallahKigoda, wakatiakifunguaMkutanowaBaraza la WafanyakaziwaWizarahiyounaofanyikakwasikumbiliJijini Dar Es Salaam. Dkt. Kigodaamesema, WizarayaViwandanaBiasharainajukumukubwakatikakuboreshaUchumiwaNchihivyowafanyakazihawanabudikufanyakazikwabidiinaubunifuilikuiwezeshaWizarakupatamatokeoyaliyokusudiwa. “Fanyenikazikwabidii, kwamaarifanaubunifumkubwa. Epukeniuzembe, ukiritimbausionasababuzamsinginazaidiyayote, tujitangazeiliUmmaufahamukikamilifujitihadazetukatikakukuzauchumi’’. AwaliakimkaribishaMhWaziri, KatibuMkuuwaWizarahiyoBwUlediMussaamesema, UongoziwaWizarahiyoutaendeleakufanyajitihadazakuboreshamaslahiyawafanyakazi, mazingirayakufanyiakazinakuondoakerombalimbalimbalizinzowakwazawatumishi. Kwaupande wake MtoamadakatikaMkutanohuo Bi HonestaNgollykutokaambaeniAfisaElimuKazikutokaTumeyasUsuluhishinaUamuzi…
Continue Reading....Rais Kikwete Aanza Ziara Rasmi Uingereza
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amewasili mjini London, Uingereza, kwa ziara rasmi ya siku tatu ya kidola, moja ya ziara…
Continue Reading....Ajali Yaua 21 nakujeruhi 11 Pwani
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete amestushwa na kuhuzunishwa na ajali kubwa iliyotokea usiku wa jana, Jumamosi, Machi 29, 2014, katika…
Continue Reading....Anne Makinda Awataka Wanawake Kujenga Hoja na Kuzitetea
Na Magreth Kinabo –MAELEZO, Dodoma. Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Anne Makinda ametoa changamoto kwa wajumbe wenzake wanawake walio kwenye Bunge hilo, kujenga hoja…
Continue Reading....