Category: Habari za Nyumbani
Askofu Kilaini Afiwa na Baba Yake, Ikulu Yatoa Pole…!
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Askofu Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Askofu Methodius Kilaini, akimpa…
Continue Reading....Sitta Awapoza ‘Wapinzani’ Bunge la Katiba…! Bunge la Katiba Laendelea
Na Magreth Kinabo- Dodoma MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta ametangaza rasmi majina mengine ya ziada ya wajumbe wapya wa Kamati ya Uongozi…
Continue Reading....BRN Yaendeleza Mapinduzi ya Kilimo
Na Hassan Abbas MPANGO wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) unaosimamiwa na Kitengo cha Rais cha Utekelezaji wa Miradi Mikubwa (PDB), umeendelea kupata mafanikio katika kuhakikisha…
Continue Reading....TFDA Yatoa Tahadhari kwa Watumiaji Bidhaa za Madukani
Na Aron Msigwa – MAELEZO MAMLAKA ya Chakula na Dawa nchini (TFDA) imewataka wananchi kujenga utaratibu wa kusoma maelezo ya bidhaa za vyakula zinazouzwa madukani…
Continue Reading....Machangudoa: Wabunge wa Katiba Wanatulipa Vizuri Kuliko Wateja Wengine
WASICHANA wanaofanya biashara ya kujiuza katika maeneo mbalimbali mjini hapa (Dodoma) wameelezea neema iliyowafikia kufuatia kujikusanyia pesa ndefu kutoka kwa baadhi ya wabunge wa Bunge…
Continue Reading....