Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 482

Category: Habari za Nyumbani

Baraza Kuu la Wafanyakazi NSSF Lakutana Dar es Salaam

Posted on: April 17, 2014 - jomushi
Post Tags: Burudani, mkutano
Baraza Kuu la Wafanyakazi NSSF Lakutana Dar es Salaam

BARAZA Kuu la Wafanyakazi la Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii limekutana kwa siku mbili jijini Dar es Salaam tangu juzi kufanya vikao vyake…

Continue Reading....

Wabunge 200 Wasusia Bunge la Katiba, Watoka Ukumbini…!

Posted on: April 17, 2014 - jomushi
Post Tags: bunge la katiba, featured
Wabunge 200 Wasusia Bunge la Katiba, Watoka Ukumbini…!

MAMBO yamebadilika. Ukimya ulitawala jana katika Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma, baada ya wabunge zaidi ya 200 ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya…

Continue Reading....

“Kifo Hakizoeleki” Wassira

Posted on: April 17, 2014 - jomushi
“Kifo Hakizoeleki” Wassira

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais (Mahusiano), Bw. Stephen Wassira aliwavunja mbavu waombolezaji waliofika kwenye mazishi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara marehemu John…

Continue Reading....

Flooding causes severe damage, claims 15 lives in Tanzania

Posted on: April 16, 2014April 16, 2014 - admin
Post Tags: featured, mafuriko, mvua kubwa
Flooding causes severe damage, claims 15 lives in Tanzania

The heavy rainfall that pounded Tanzania’s Coast, Morogoro and Dar es Salaam regions for three consecutive days left at least 15 people dead and caused…

Continue Reading....

Wamasai Ngorongoro Waunda Baraza la Wanawake

Posted on: April 15, 2014 - jomushi

Kutokana na kukithiri kwa mfumo dume unaoambatana na ukandamizaji wa mwanamke na kusababisha ongezeko la watoto yatima na wajane katika jamii ya wafuagaji wa kimasai, wanawake wa…

Continue Reading....

Kivulini Yaanza Vikao vya Tathmini kwa Wasaidizi Sheria Wilaya za Mkoa wa Mwanza

Posted on: April 15, 2014April 16, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, sheria
Kivulini Yaanza Vikao vya Tathmini kwa Wasaidizi Sheria Wilaya za Mkoa wa Mwanza

TAASISI isiyo ya kiserikali inayojishughulisha na kutetea haki za Wanawake, KIVULINI, yenye makao makuu jijini Mwanza imeanza kufanya vikao vya tathmini ya utendeji kazi wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari