Flaviana na Balozi Mwanaidi Maajar walishiriki kuweka mashada katika mababuri Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ambwene Yesaya almaarufu kama AY alikuwepo kuungana na Flaviana…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Japan Yaahidi Kuendelea Kuchangia Bajeti ya Tanzania
Mwandishi Maalum, Tokyo SERIKALI ya Japan imeelezea nia yake ya kuendelea kuchangia bajeti ya Tanzania na kufafanua kuwa, inafanya hivyo kwa kutambua kuwa Tanzania ni…
Continue Reading....DIT, CBE Kuoneshana Fainali Beach Soccer
FAINALI ya michuano ya mpira wa miguu ya ufukweni (beach soccer) kati ya Taasisi ya Teknolojia Dar es Salaam (DIT) na Chuo cha Elimu ya…
Continue Reading....UDA Kutumiwa na Wanafunzi kwa Vitambulisho Maalum
Na Anna Nkinda – Maelezo WILAYA ya Kinondoni kwa kushirikiana na ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam wanaandaa mkakati wa kusafirisha wanafunzi…
Continue Reading....Wabunge Wataka Kikwete Aunde Tume ya Elimu
BAADHI ya wabunge jana walichachamaa wakisema elimu nchini ipo mahututi na kumtaka Rais Jakaya Kikwete kuunda tume ya kudumu ya elimu itakayochunguza mfumo wa elimu…
Continue Reading....Katibu Kinana Kuunguruma Tabora Mjini Leo
Na Bashir Nkoromo, Tabora CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) leo kinatarajiwa kuuteka mji wa Tabora, wakati Katibu Mkuu wake, Abdulrahman Kinana atakapohitimisha ziara yake ya siku…
Continue Reading....