TIMU ya Taifa ya Ujerumani imefanya mauaji ya kihistoria katika Fainali za Kombe la Dunia baada ya kuibugiza Timu ya Brazil mabao saba kwa moja…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Dk. Bilal Aiwakilisha Tanzania Maadhimisho ya Uhuru wa Malawi
MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Mohammed Gharib Bilal, Julai 06, 2014 ameiwakilisha Tanzania katika maadhimisho ya miaka 50 ya Uhuru wa…
Continue Reading....Wanahabari Wahimizwa Kuzingatia Maadili
Mshauri na Mkufunzi wa Redio Jamii kutoka UNESCO, Bi. Rose Haji Mwalimu akitoa mada inayohusu mchango wa vyombo vya habari katika kuhamasisha matumizi rafiki ya…
Continue Reading....Bomu Lalipuka Tena Mgahawani Arusha, Lajeruhi Vibaya
Bomu Lalipuka Tena Mgahawani Arusha, Lajeruhi Vibaya TAARIFA zinasema bomu limerushwa ndani ya Mgahawa ujulikanao kama ‘Traditional Indian Cusine’ uliopo karibu na Hotel ya Gymkana…
Continue Reading....TGNP Mtandao Conducts Gender Festival in Tarime
TANZANIA Gender networking program (TGNP) is conducting a three day Gender Festival in Tarime District with the aim to raise awareness to traditional elders and…
Continue Reading....Wanaume wa Tarime Wakataa Ukeketaji
Na Deogratius Temba WANAUME kutoka katika Kata ya Nyamaraga Kijiji cha Ng’ereng’ere Wilaya ya Tarime mkoani Mara wamewataka wanaume wote kukataa kuoa wasichana waliokeketwa ili…
Continue Reading....