Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 441

Category: Habari za Nyumbani

Balozi wa Palestina Awaomba Wanahabari Tanzania Kupaza Sauti

Posted on: July 20, 2014July 20, 2014 - jomushi
Post Tags: Balozi wa Palestina Awaomba Wanahabari Tanzania, featured
Balozi wa Palestina Awaomba Wanahabari Tanzania Kupaza Sauti

BALOZI wa Palestina nchini Tanzania, Nasri Abu Jaish amevitaka vyombo vya habari nchini Tanzania kusaidia kupaza sauti dhidi ya vitendo vya uonevu na mauaji yanayofanywa…

Continue Reading....

Ras Makunja na Ngoma Africa Band Wapagawisha Tena Ujerumani Kwenye Tamasha la Afrika!

Posted on: July 20, 2014July 20, 2014 - Rungwe Jr.
Ras Makunja na Ngoma Africa Band Wapagawisha Tena Ujerumani Kwenye Tamasha la Afrika!

Tamasha hili linafikia tamati leo tarehe 20/7/2014, baada ya kuanza tarehe 17/7/2014. Tamasha hili hufanyika kila mwaka hapa jijini Tuebingen, Ujerumani, ambapo waafrika hutumia fursa…

Continue Reading....

Tamasha la Waafrika Ujerumani Lafunika!

Posted on: July 20, 2014July 20, 2014 - Rungwe Jr.
Tamasha la Waafrika Ujerumani Lafunika!

Tamasha hili linafikia tamati leo tarehe 20/7/2014, baada ya kuanza tarehe 17/7/2014. Tamasha hili hufanyika kila mwaka hapa jijini Tuebingen, Ujerumani, ambapo waafrika hutumia fursa…

Continue Reading....

Mtandao wa Wanawake na Katiba Wazungumzia Mchakato wa Katiba

Posted on: July 19, 2014 - jomushi
Post Tags: featured, Mtandao wa Wanawake na Katiba
Mtandao wa Wanawake na Katiba Wazungumzia Mchakato wa Katiba

MTANDAO wa Wanawake na Katiba umevitaka vyombo vya habari kuacha kuyumbushwa na upepo wa kisiasa katika suala zima la kupigania mambo ya msingi kwa jamii…

Continue Reading....

Muhongo- Tumevuka Lengo Kusambaza Umeme Nchini

Posted on: July 19, 2014 - jomushi
Muhongo- Tumevuka  Lengo Kusambaza Umeme Nchini

SERIKALI imekiomba Chama cha Mapinduzi (CCM) kuipangia upya malengo ya kusambaza umeme kwa wananchi kwa sababu malengo yaliyopangwa katika Ilani ya Uchaguzi Mkuu wa 2010…

Continue Reading....

Wapelekeni Watoto Chini ya Miaka 5 Kupata Matone ya Vitamini A na Minyoo

Posted on: July 19, 2014 - jomushi
Post Tags: Chanjo ya minyoo
Wapelekeni Watoto Chini ya Miaka 5 Kupata Matone ya  Vitamini A na Minyoo

Na. Aron Msigwa – MAELEZO. Wito umetolewa kwa wakazi wa jiji la Dar es salaam hususan wazazi wenye watoto walio na umri chini ya miaka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari