Na Aron Msigwa – MAELEZO RAIS mstaafu wa Awamu ya Pili, Ali Hassan Mwinyi, amewataka Watanzania kuwa makini kwa kutoruhusu tofauti za dini zilizopo nchini…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Rais Kikwete Awang’ang’ania Wezi Vyama vya Ushirika
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa Serikali yake haitalipa madeni ambayo baadhi ya Vyama vya Ushirika nchini vinadaiwa na…
Continue Reading....Nyumba za Taasisi ya Mkapa Zazinduliwa Tunduru
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete Julai 22, 2014, amezindua mradi wa nyumba 40 za watumishi wa sekta ya Afya katika…
Continue Reading....Polisi Arusha Wakamata Mabomu Saba, 25 Washikiliwa
JESHI la Polisi limekamata mabomu saba ya kutupa kwa mkono, risasi sita za bunduki aina ya Shortgun, mapanga mawili na bisibisi moja, katika operesheni dhidi…
Continue Reading....Siri Utupaji Viungo vya Maiti Yabainika Dar
WAKATI ikibainika kuwa viungo vya miili ya binadamu vilivyookotwa juzi katika Bonde la Mto Mpiji nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam vilitoka katika…
Continue Reading....Mke wa Polisi Afia Nyumbani kwa Dereva wa Bodaboda
JESHI la Polisi linamshikilia dereva mmoja wa pikipiki, maarufu kama bodaboda wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro baada ya mke wa askari polisi kukutwa amekufa chumbani kwa…
Continue Reading....