Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 427

Category: Habari za Nyumbani

Rais Kikwete Amlilia Marehemu Jaji Lewis Makame

Posted on: August 19, 2014August 20, 2014 - jomushi
Post Tags: Marehemu Jaji Lewis Makame
Rais Kikwete Amlilia Marehemu Jaji Lewis Makame

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, National Electoral Commission…

Continue Reading....

TFDA Kurutubisha Vyakula na Kusimamia Usalama

Posted on: August 18, 2014 - jomushi
Post Tags: TFDA Kurutubisha Vyakula
TFDA Kurutubisha Vyakula na Kusimamia Usalama

Na Frank Mvungi   SERIKALI imejipanga kufanikisha mpango wa kitaifa wa urutubishaji vyakula na kusimamia usalama wa vyakula vilivyoongezwa virutubishi kwa lengo la kulinda afya…

Continue Reading....

Asasi Yaitaka Serikali Kutunga Sheria Kudhibiti Pombe

Posted on: August 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Asasi Yaitaka Serikali Kutunga Sheria Kudhibiti Pombe
Asasi Yaitaka Serikali Kutunga Sheria Kudhibiti Pombe

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imeshauriwa kutunga sera madhubuti ya udhibiti wa pombe katika jamii ili pamoja na mambo mengine kuhakikisha vijana wanalindwa dhidi ya bidhaa…

Continue Reading....

Watendaji BRN Watakiwa Kuwa Chachu ya Mabadiliko

Posted on: August 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Watendaji BRN Watakiwa Kuwa Chachu ya Mabadiliko
Watendaji BRN Watakiwa Kuwa Chachu ya Mabadiliko

Na Hassan Abbas WATENDAJI wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelzaji wa Miradi ya Kipaumbele (PDB) inayosimamia Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) wametakiwa kuwa chachu…

Continue Reading....

Jaji Lewis Makame Afariki Dunia Jijini Dar

Posted on: August 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Jaji Lewis Makame Afariki Dunia Jijini Dar
Jaji Lewis Makame Afariki Dunia Jijini Dar

TAARIFA ambazo mtandao huu umezipata ni kwamba aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini (NEC), Jaji Lewis Makame amefariki dunia katika Hospitali ya Trauma…

Continue Reading....

Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Vijana Duniani; Serikali Kuwashirikisha Vijana Utekelezaji Sera

Posted on: August 18, 2014 - jomushi
Post Tags: Serikali Kuwashirikisha Vijana Utekelezaji Sera
Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Vijana Duniani; Serikali Kuwashirikisha Vijana Utekelezaji Sera

Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya watu duniani (UNFPA), Dk. Natalia Kanem akizungumza wakati wa maadhimisho hayo ya siku ya kimataifa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari