Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimjulia hali Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama aliyelazwa kwa matibabu katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Jenerali Mtaafu Hashimu Mtezo Afariki Dunia
JESHI la Ulinzila Wananchiwa Tanzania (TWTZ) linasikitika kutangaza kifo cha Brigedia Jenerali (mstaafu) Hashimu Said Mtezo kilichotokea tarehe 04 Oct 14 kwa ugonjwa katika Hospitali…
Continue Reading....Ikulu Yatuma Rambirambi Kifo cha Dk Shija
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameelezea huzuni na masikitiko yake kuomboleza kifo cha aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mabunge ya…
Continue Reading....Waziri Pinda Ataka Busara Kumaliza Mgogoro Kagera, Alia na Madawati…!
Na Mwandishi Wetu, Kagera WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameutaka uongozi wa mkoa wa Kagera ukae na kuzungumza ili kutafuta ufumbuzi wa mgogoro wa kisiasa…
Continue Reading....Elimu ya Awali Tunduru na Changamoto Zake
Na Joachim Mushi, Tunduru WADAU wa elimu nchini Tanzania wanaamini kwa kiasi kikubwa kwamba endapo elimu ya awali (chekechea) nchini Tanzania itatolewa katika misingi inayostahiki…
Continue Reading....JK Akagua Ujenzi Chuo cha Sayansi ya Afya na Uchunguzi
Jengo kuu la Chuo cha Afya na Uchunguzi wa Magonjwa ya Binadamu cha Chuo Kikuu cha Dodoma mjini Dodoma Sehemu ya majengo ya Chuo…
Continue Reading....