Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Habari za Nyumbani
  • Page 378

Category: Habari za Nyumbani

Jaji Ramadhani Aitaka Afrika Kuzingati Haki za Binadamu

Posted on: November 23, 2014 - jomushi
Post Tags: Afrika, Haki za Binadamu, Jaji Ramadhani
Jaji Ramadhani Aitaka Afrika Kuzingati Haki za Binadamu

Na Mtuwa Salira, EANA-Arusha RAIS wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR), Jaji Augustino Ramadhani amezitaka nchi za Afrika kuzingatia zaidi…

Continue Reading....

Rais Kikwete Atuma Rambirambi Vifo vya Wanahabari

Posted on: November 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Rais Kikwete, Rambirambi Vifo, wanahabari
Rais Kikwete Atuma Rambirambi Vifo vya Wanahabari

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Kikwete amemtumia Salamu za Rambirambi Waziri wa Habari, Vijana Utamaduni na Michezo, Dk. Fenella Mukangara kuomboleza…

Continue Reading....

Serikali, Sekta Binafsi Kuwezesha Wasomi Kujiajiri…!

Posted on: November 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Sekta Binafsi, serikali, Wasomi kwa Ajira
Serikali, Sekta Binafsi Kuwezesha Wasomi Kujiajiri…!

Na Eleuteri Mangi- Dodoma SERIKALI imesema inaendelea kushirikiana na sekta binafsi kuweka mazingira rafiki kwa kuboresha mifumo ya ajira katika sekta ya umma na ile…

Continue Reading....

Siku ya UKIMWI Duniani Kufanyika Njombe

Posted on: November 21, 2014November 21, 2014 - jomushi
Post Tags: Duniani, njombe, Siku ya UKIMWI
Siku ya UKIMWI Duniani Kufanyika Njombe

Na Beatrice Lyimo na Aron Msigwa – Maelezo MAADHIMISHO ya siku ya UKIMWI Duniani kwa mwaka 2014 kitaifa yanatarajiwa kufanyika mkoani Njombe kuanzia tarehe 24…

Continue Reading....

Akaunti ya Escrow Yamtesa Pinda Bungeni, Wabunge Wacharuka

Posted on: November 20, 2014 - jomushi
Post Tags: Akaunti ya Escrow, Bungeni, serikali
Akaunti ya Escrow Yamtesa Pinda Bungeni, Wabunge Wacharuka

Na Joachim Mushi TUHUMA za uchotaji wa fedha Dola za Marekani milioni 200 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyotua bungeni imeendelea kuitesa Serikali huku kukiwa…

Continue Reading....

Kenya, India Zaipiku Tanzania Mauzo ya Tanzanite Duniani

Posted on: November 20, 2014November 20, 2014 - admin
Kenya, India Zaipiku Tanzania Mauzo ya Tanzanite Duniani

KENYA na India zimeipiku Tanzania kwa mauzo ya Tanzanite Duniani. Hayo Yamesemwa na Kamishina wa madini Tanzania, Mhandisi Paul Masanja. Kenya Imeingiza Tsh 173 Bilioni…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari