Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum akitoa hotuba ya kufunga kongamano la Kimataifa la siku tatu kuhusu hifadhi ya Jamii lililoanza Disemba 15-17, 2014 jijini…
Continue Reading....Category: Habari za Nyumbani
Sakata la Escrow: Prof. Tibaijuka Asema Hawezi Kujiuzulu Kwenye Mafanikio…!
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka amesema kamwe awezi kujiuzulu wadhifa wake kwa kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow iliyomkumba…
Continue Reading....Jiji Latafuta Suluhisho la Ombaomba na Wamachinga
Aron Msigwa – MAELEZO, Dar es Salaam JIJI la Dar es salaam linaangalia utaratibu wa kuwaondoa ombaomba na wafanyabiashara ndogondogo(wamachinga) katika maeneo yasiyoruhusiwa katika jiji…
Continue Reading....Waziri Pinda Asema Serikali Inatafuta Soko la Utalii UAE
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imeamua kutafuta soko la utalii kutoka nchi za Ghuba na Mashariki ya Kati ili kuongeza idadi ya watalii nchini…
Continue Reading....Rais Kikwete Aungana na Wanahabari Kutoa Pole Msiba wa Mama wa Wanahabari
Kulia ni Kulwa na kushoto ni Dotto Mwaibale wakiwa na sura za Majonzi wakati wa Ibada fupi ya Kumuombea Mama yao Mpendwa kabla ya…
Continue Reading....Hospitali ya Apollo Yatenganisha Mapacha Walioungana Kutoka Tanzania
WATANZANIA wameendelea kufaidika kwa huduma bora za afya kutoka kwa hospitali ya Apollo iliyokonchini India. Hii ni kufuatia hosiptali hiyo kufanikiwa kuwatenganisha mapacha wa kike…
Continue Reading....